Hii comment wasipoelewa hawa vijana basi
Iko hivi wakati naanza kufanya kazi Access bank nilikuta watu wamenenepa kweli. Cha kushangaza take home baada ya makato ilikuwa ni 320,000/- Sikutaka ku disappoint aliyenipeleka nikaona ngoja nikomae mwezi niache. Nilikomaa kwa akili ya kuacha huku na set mambo yangu mengine
Kweli in a month nikaacha ila nilinotice kitu. Wengi hunenepa hata kama wanalipwa kiasi kidogo Ukiona hela unaridhika hata kama hela za watu. Sema sio matusi kufanya kazi bank kunakufanya unalemaa sana. Tena wanaume wanakuja na hela wewe unawahesabia (no offense). Ila japo wote hawawezi kujiajiri vijana watafute kazi zenye maslai mazuri.
By 30 naishi kama mstaafu miaka yote naamka saa nne. Ila sadly miradi mingi iliingiwa na mikosi. Ila sasa nataka nisimame niifika 40 nataka niwe naamka saa sita mchana