- Jul 8, 2023
- 1,320
- 2,995
- 0
Jamani wanakijiji naombeni mnisaidie kwa hili
Ukimpa hela atakupenda sanaJamani wanakijiji naombeni mnisaidie kwa hili
Nataka kujua viashiria tuusiwaze hivi utapata sonona....
kama umempenda tongoza akikataa freshi
huwezi kumsoma mwanadamu utachanganyikiwaNataka kujua viashiria tu
jamaa angu kwa kupinga wewehuwezi kumsoma mwanadamu utachanganyikiwa
amini kwamba
anakosoa bila kutoa majibuHahahah
jamaa angu kwa kupinga wewe
Hahahah
jamaa angu kwa kupinga wewe
jibu hilo tayari mbona,anakosoa bila kutoa majibu
Huyo jamaa avatar ni nanijibu hilo tayari mbona,
asihangaike kusoma ishara, ni ubatili
Rural Edmund huyo wa MsongolaHuyo jamaa avatar ni nani
Anhaaa sawa kakaRural Edmund huyo wa Msongola
nazingua subiri arudi, huyo ni celebrity flani nimemsahau jina, kafanana na @mshamba_mkuu mwenyeweAnhaaa sawa kaka
naona mimi ntakua tofauti kidogo,,,, nikimpenda mtu kwanza kabisa ntafanya kila namna ya kumuattract(kwenye hapa nazungumzia aibu za hapa na pale,, ntafatilia viwanja vyake na mimi mara mojamoja ntakua naenda ilimradi tu anioneone),, halafu sasa akishaingia line naanza kumkwepa na hatakama nimepata namba yake sisave au nablock kabisa yani nataka yeye ndo aanze kustruggle sasa hadi anipate
unang'ata na kupulizahalafu sasa akishaingia line naanza kumkwepa
Ndio ,, mimi hata nikimpenda mtu siwezi kua cheap tatizounang'ata na kupuliza
we jau sana
Hii kazi ndio sifanyinaona mimi ntakua tofauti kidogo,,,, nikimpenda mtu kwanza kabisa ntafanya kila namna ya kumuattract(kwenye hapa nazungumzia aibu za hapa na pale,, ntafatilia viwanja vyake na mimi mara mojamoja ntakua naenda ilimradi tu anioneone),, halafu sasa akishaingia line naanza kumkwepa na hatakama nimepata namba yake sisave au nablock kabisa yani nataka yeye ndo aanze kustruggle sasa hadi anipate
Wewe huwezi ukafanya ndyoHii kazi ndio sifanyi
muache dogo, hajui kuku msumbufu kuchinja ndo mtamuWewe huwezi ukafanya ndyo
Wanakuwa wamekomaaamuache dogo, hajui kuku msumbufu ndo mtamu
punguza ukorofi kijanawamekomaaa
Eti wanakua wamekomaaWanakuwa wamekomaaa
Muache Akikua atajuamuache dogo, hajui kuku msumbufu kuchinja ndo mtamu
Huyo unaye muona amekuwa PM anatuomba ushauriMuache Akikua atajua
Huyo unaye muona amekuwa PM anatuomba ushauri
Hahah,, @mshamba_mkuu ya kweli hayaHuyo unaye muona amekuwa PM anatuomba ushauri
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.