- Jul 8, 2023
- 1,320
- 2,995
- 0
Wakati mwingine si vibaya kushirikishana uzoefu katika maisha tuliyopitia. Kwa umri wangu nimeona mengi na ninajua ninachokisema na walio wa kweli watanielewa. Misingi ambayo familia zote za Kiafrica, zimejengwa katika kitu kinachoitwa mila na desturi za ukoo wetu. Hiki kitu kinachoitwa mila na desturi ni maagano ya matambiko ya mizimu na mashetani ya kuitolea kafara kila msimu waliokubaliana nayo ambayo yameridhishwa kutoka uzao hadi uzao.
Hayo maagano ni kwa ajili ya nia njema ya kulinda usitawi wa familia katika nyanja za uchumi, kuoa na kuolewa, elimu, vyeo, kuwa kiongozi katika jamii, mamlaka, n.k, n.k.
We angalia wenzio uliosoma nao au kukua nao au kucheza nao au kuajiriwa nao pamoja, au kuanza nao biashara na angalia tofaouti yao na wewe. Kama umejikuta maisha yako yamekuwa mepesi katika nyanja nilizozitaja na nyingine ambazo sijazitaja lakini unaona kwa upande wako pamekuwepo wepesi wa kufikia mafanikio na malengo uliyofikia, NAKWAMBIA kamuulize mama, Baba, Babu!, Bibi (kama bado wapo).
Wee waendee kwa upole na busara na hekima (maana haya mambo ni siri). Wadadisi kuwa: Pamoja na juhudi ninazoziweka katika maisha ebu niambie siri za mafanikio yangu. Au kwanini nakwama kila ninachotia mkono kukifanya.
ebu jiulize ni mara ngapi umekuwa kila ukifanya hakiendi sawa,kila unachokishika kwako kinageuka mkosi na laana,na ukiangalia kwa wenzako uliosoma nao au kukua nao wanamaisha manzuri kuliko yako,unabaki kujipa stress na lawama kwa watu wanaokuzunguka kuwa hao ndo sababu ya wewe kutokufanikiwa katika maisha yako.
Kuna kipindi katika maisha yangu kila nilichokuwa nashika kilibadilika laana kwangu,maisha yalikuwa tough sana hakukuwa na ahueni yeyote ile,nilikaa chini na kumlilia MUNGU sana.
basi tambua katika familia na ukoo nyingi za tanzania wanaingia maagano mbalimbali ambayo yatakuja kuonekana mabaya baada ya vizazi kadhaa kupita,inawezekana babu yako waliingia maagano ya kichawi na wakatoa kafara ya damu na wakafukia mifupa ya agano lao kwenye ardhi ya babu yako.
labda tu uwe na elimu ya kutosha au nguvu ya ziada Ili uweze kuuvuka mstari waliouweka. Kwann mizimu haitaki maendeleo jibu rahisi ni kwamba watu wakiendelea wataacha kuabudu mizimu kwa kuingiza tamaduni za kigeni maeneo hayo nguvu ya mizimu inawawahi fasta wasivuke mstari walioset tukijenga au ukitaka kujenga tu nyumba maeneo hayo unashangaa umefukuzwa kazi, umehamishwa kitengo, biashara imeyumba, mara ajali, msiba nk, umeenda kijijini na gari urudi, nk. Mfano wa standard walizoseti kupitia maagano mfano
1. Mtaa au eneo au kijiji, au ukoo nk huu Hakuna atakaesoma kama ni la saba wote ukoo mzima akijitahidi kufaulu shule dungwa mimba, anaemfadhili kafa, nk.
2. Hakuna vitu vya maendeleo ukijenga nyumba nzuri umeondoaka, huu mfano naouna mpaka wa vijijini vya Tanga na Vya mkoa wa Kilimanjaro hii barabara kuu ya Dar to Arusha.Angalia vijiji vya upande wa Tanga unakuta nyumba za udongo zimechoka, za nyasi hali duni ya maisha lakini chek upande wa pili uingiapo mkoa wa Kilimanjaro unakuta maendeleo yapo nyumba za Bati nyingi tu, nk. Means hivyo vya upande wa Tanga pana nguvu ya ucheif satanist inayotawala hapo inayozuia maendeleo.
3. Vifo vya ukoo au eneo vinavyofanana,
4. Hakuna atakaemiliki gari au chombo chochote, nk. Au unakuta eneo zima iwe mtaa, nyumba zote zimeishia kwenye lenta, au Hakuna aliyefaulu kupiga hata plasta, au mtaa mzima hauna taa za nje, ukiona hivyo tambua yupo gwiji chief satanist ameseti limit ya maendeleo au standard fulani ya maisha.
Usipofanikiwa sehemu eneo fulani miaka tambua unamilikiwa na utawala wa eneo hilo hama kajaribu eneo jingine.
Ardhi yoyote iliyoko juu ya nchi inayoumiliki wa kiroho, kuna ardhi ambazo zinamilikiwa na miungu na ardhi inayomilikiwa na Mungu aliye hai katika kristo yesu, na Mungu yoyote anayemiliki ardhi siku zote anaweka utaratibu na kanuni za kuishi ndani ya ardhi husika wegine wanasema miiko au mila lakini sisi tunaziita amri na hukumu vitu ambavyo unatakiwa kufanya au kutokufanya ili uweze kuishi katika ardhi husika
Ole wenu mnaotaka kufanya commitments za kichawi kwa wachawi. Hakuna commitment salama kwa Ibilisi, hayo ni maagano na kila baaada ya muda itawapasa kufanya agano upya, tena maagano ya sadaka. Kwa jinsi Iblisi alivyo na hila mtaanza na sadaka ndogo kama vile kutoa sadaka ya kuku, baadaye mbuzi, kisha ng'ombe, baada ya miaka mitano unaambiwa utoe sadaka ya mtoto wako, kisha mkeo, then mzazi wako, na hatimaye utadaiwa damu yako mwenyewe.
@@tuvunje maagano yote ya kichawi juu koo zetu
Hayo maagano ni kwa ajili ya nia njema ya kulinda usitawi wa familia katika nyanja za uchumi, kuoa na kuolewa, elimu, vyeo, kuwa kiongozi katika jamii, mamlaka, n.k, n.k.
We angalia wenzio uliosoma nao au kukua nao au kucheza nao au kuajiriwa nao pamoja, au kuanza nao biashara na angalia tofaouti yao na wewe. Kama umejikuta maisha yako yamekuwa mepesi katika nyanja nilizozitaja na nyingine ambazo sijazitaja lakini unaona kwa upande wako pamekuwepo wepesi wa kufikia mafanikio na malengo uliyofikia, NAKWAMBIA kamuulize mama, Baba, Babu!, Bibi (kama bado wapo).
Wee waendee kwa upole na busara na hekima (maana haya mambo ni siri). Wadadisi kuwa: Pamoja na juhudi ninazoziweka katika maisha ebu niambie siri za mafanikio yangu. Au kwanini nakwama kila ninachotia mkono kukifanya.
ebu jiulize ni mara ngapi umekuwa kila ukifanya hakiendi sawa,kila unachokishika kwako kinageuka mkosi na laana,na ukiangalia kwa wenzako uliosoma nao au kukua nao wanamaisha manzuri kuliko yako,unabaki kujipa stress na lawama kwa watu wanaokuzunguka kuwa hao ndo sababu ya wewe kutokufanikiwa katika maisha yako.
Kuna kipindi katika maisha yangu kila nilichokuwa nashika kilibadilika laana kwangu,maisha yalikuwa tough sana hakukuwa na ahueni yeyote ile,nilikaa chini na kumlilia MUNGU sana.
basi tambua katika familia na ukoo nyingi za tanzania wanaingia maagano mbalimbali ambayo yatakuja kuonekana mabaya baada ya vizazi kadhaa kupita,inawezekana babu yako waliingia maagano ya kichawi na wakatoa kafara ya damu na wakafukia mifupa ya agano lao kwenye ardhi ya babu yako.
labda tu uwe na elimu ya kutosha au nguvu ya ziada Ili uweze kuuvuka mstari waliouweka. Kwann mizimu haitaki maendeleo jibu rahisi ni kwamba watu wakiendelea wataacha kuabudu mizimu kwa kuingiza tamaduni za kigeni maeneo hayo nguvu ya mizimu inawawahi fasta wasivuke mstari walioset tukijenga au ukitaka kujenga tu nyumba maeneo hayo unashangaa umefukuzwa kazi, umehamishwa kitengo, biashara imeyumba, mara ajali, msiba nk, umeenda kijijini na gari urudi, nk. Mfano wa standard walizoseti kupitia maagano mfano
1. Mtaa au eneo au kijiji, au ukoo nk huu Hakuna atakaesoma kama ni la saba wote ukoo mzima akijitahidi kufaulu shule dungwa mimba, anaemfadhili kafa, nk.
2. Hakuna vitu vya maendeleo ukijenga nyumba nzuri umeondoaka, huu mfano naouna mpaka wa vijijini vya Tanga na Vya mkoa wa Kilimanjaro hii barabara kuu ya Dar to Arusha.Angalia vijiji vya upande wa Tanga unakuta nyumba za udongo zimechoka, za nyasi hali duni ya maisha lakini chek upande wa pili uingiapo mkoa wa Kilimanjaro unakuta maendeleo yapo nyumba za Bati nyingi tu, nk. Means hivyo vya upande wa Tanga pana nguvu ya ucheif satanist inayotawala hapo inayozuia maendeleo.
3. Vifo vya ukoo au eneo vinavyofanana,
4. Hakuna atakaemiliki gari au chombo chochote, nk. Au unakuta eneo zima iwe mtaa, nyumba zote zimeishia kwenye lenta, au Hakuna aliyefaulu kupiga hata plasta, au mtaa mzima hauna taa za nje, ukiona hivyo tambua yupo gwiji chief satanist ameseti limit ya maendeleo au standard fulani ya maisha.
Usipofanikiwa sehemu eneo fulani miaka tambua unamilikiwa na utawala wa eneo hilo hama kajaribu eneo jingine.
Ardhi yoyote iliyoko juu ya nchi inayoumiliki wa kiroho, kuna ardhi ambazo zinamilikiwa na miungu na ardhi inayomilikiwa na Mungu aliye hai katika kristo yesu, na Mungu yoyote anayemiliki ardhi siku zote anaweka utaratibu na kanuni za kuishi ndani ya ardhi husika wegine wanasema miiko au mila lakini sisi tunaziita amri na hukumu vitu ambavyo unatakiwa kufanya au kutokufanya ili uweze kuishi katika ardhi husika
Ole wenu mnaotaka kufanya commitments za kichawi kwa wachawi. Hakuna commitment salama kwa Ibilisi, hayo ni maagano na kila baaada ya muda itawapasa kufanya agano upya, tena maagano ya sadaka. Kwa jinsi Iblisi alivyo na hila mtaanza na sadaka ndogo kama vile kutoa sadaka ya kuku, baadaye mbuzi, kisha ng'ombe, baada ya miaka mitano unaambiwa utoe sadaka ya mtoto wako, kisha mkeo, then mzazi wako, na hatimaye utadaiwa damu yako mwenyewe.
@@tuvunje maagano yote ya kichawi juu koo zetu