- Jun 4, 2023
- 7,609
- 26,404
- 113
Adhabu kuhusiana na tabia za ushoga
Kuna baadhi ya wasomi wanasema dhambi ya Sodoma na Gomora ilikuwa ni kwa sababu ya matendo ya Kishoga. Mungu akatuma wageni kwa Lutu. Ila sasa watu kwa tamaa kuona malaika wale ni wazuri wakataka kulala nao. Kwa nini?
Kwa nini?
Kwa sababu walifika nyumbani kwa Lutu wakimshurutisha awatoe wageni hao ili wawajue. Katika Biblia neno kumjua limetumika kama kushiriki tendo la ndoa. Lutu kuona kuwaka kwa tamaa zao akawatoa watoto wake mabikra wawili ili watu wale walale nao. Japo watu wale walikataa wakitaka wale wageni.
Adhabu kwa sababu walikosa ukarimu
Kuna baadhi ya nadharia kutoka kwa wasomi mbali mbali wakisema kuwa haikuwa kwa sababu ya ushoga bali kwa kukosa ukarimu.
Mungu ametuma wageni wake kwa Lutu. Ila watu wale wa Sodoma na Gomora hawakuwa wakarimu kwa wageni wale. Hivyo kwa sababu walikataa uwepo wa Mungu katika ardhi hiyo basi wakaadhibiwa kwa moto
Nani Yu sahihi?
Wale wanaodai kuwa Sodoma na Gomora iliangamizwa kwa ushoga wanaenda mbali kuuliza kama sio ushoga, Je ilikuwa na haja gani Lutu kusema atawapa watoto wake mabikra wawatumie watakavyo? kuwa walitaka kuwaingilia wageni kutoka kwa Mungu kinyume na maumbile.
Neno kumjua limetumika kama kushiriki mapenzi na. Je wale watu walitaka wageni wale wawajue kwa kuwafahamu au kushiriki nao ngono za kinyume na maumbile? kuwa walitaka kuwaingilia wageni kitika kwa Mungu kinyume na maumbile.
-Gily-
Kuna baadhi ya wasomi wanasema dhambi ya Sodoma na Gomora ilikuwa ni kwa sababu ya matendo ya Kishoga. Mungu akatuma wageni kwa Lutu. Ila sasa watu kwa tamaa kuona malaika wale ni wazuri wakataka kulala nao. Kwa nini?
Kwa nini?
Kwa sababu walifika nyumbani kwa Lutu wakimshurutisha awatoe wageni hao ili wawajue. Katika Biblia neno kumjua limetumika kama kushiriki tendo la ndoa. Lutu kuona kuwaka kwa tamaa zao akawatoa watoto wake mabikra wawili ili watu wale walale nao. Japo watu wale walikataa wakitaka wale wageni.
Adhabu kwa sababu walikosa ukarimu
Kuna baadhi ya nadharia kutoka kwa wasomi mbali mbali wakisema kuwa haikuwa kwa sababu ya ushoga bali kwa kukosa ukarimu.
Mungu ametuma wageni wake kwa Lutu. Ila watu wale wa Sodoma na Gomora hawakuwa wakarimu kwa wageni wale. Hivyo kwa sababu walikataa uwepo wa Mungu katika ardhi hiyo basi wakaadhibiwa kwa moto
Nani Yu sahihi?
Wale wanaodai kuwa Sodoma na Gomora iliangamizwa kwa ushoga wanaenda mbali kuuliza kama sio ushoga, Je ilikuwa na haja gani Lutu kusema atawapa watoto wake mabikra wawatumie watakavyo? kuwa walitaka kuwaingilia wageni kutoka kwa Mungu kinyume na maumbile.
Neno kumjua limetumika kama kushiriki mapenzi na. Je wale watu walitaka wageni wale wawajue kwa kuwafahamu au kushiriki nao ngono za kinyume na maumbile? kuwa walitaka kuwaingilia wageni kitika kwa Mungu kinyume na maumbile.
-Gily-