Je kujichua ni dhambi?

Kanisa katoliki linaamini kufanya hivi ji dhambi
1. Masterbating
2. Using contraceptive
3. Sex other than vaginally
4 Sex out of marriage
5 Sex while not married
6 threesome or orgies
7 Ome gender sex
8 Oral sex of any kind
9 Fantansies
10 Sex with toys or animals


need I say more.
kanisa
 
Mwanzo 38: 9 - 10

9. Lakini Onani alijua kwamba hao watoto wasingekuwa wake. Kwa hiyo, alipolala na mke wa nduguye, alimwaga chini mbegu ya uzazi, asije akampatia nduguye watoto.

10. Tendo hilo likamwudhi Mwenyezi-Mungu, akamuua Onani pia.
 

Similar threads

Wakuu nawasalimu mara tatu... Ikitokea shetani amekufa leo utaacha kufanya dhambi? Watu wengi wamekua wakimsingizia shetani kila kitu, ila ukweli ni kwamba hata shetani akifa leo bado kuna wakuu wataichukua ile nafasi ya shetani. vp unahisi utakua mtu safi kama shetani atakufa au kuondolewa...
Replies
35
Views
779
Imani bila matendo imekufa, habari! huo ulikuwa ukaribisho wa mada ya leo Wokovu ikiwa umeokoka na unatamani yale ya dunia basi umandhalilisha Mungu, wokovu wa kweli ni kumkubali Yesu kuwa Mungu na mwokozi wa mwaisha yako nakuziacha njia zako mbaya na kuubeba masalaba wako kuifuata ile njia...
Replies
7
Views
460
Karibu utoe mtazamo wako kuhusu pombe, Kibinafsi pombe ni dhambi na inamadhara makubwa kwa wanywaji na wale wasio wanywaji....
Replies
29
Views
582
Adhabu kuhusiana na tabia za ushoga Kuna baadhi ya wasomi wanasema dhambi ya Sodoma na Gomora ilikuwa ni kwa sababu ya matendo ya Kishoga. Mungu akatuma wageni kwa Lutu. Ila sasa watu kwa tamaa kuona malaika wale ni wazuri wakataka kulala nao. Kwa nini? Kwa nini? Kwa sababu walifika nyumbani...
Replies
21
Views
318
Leo tu alijipitisha mdudu sikumpenda nikamkanyanga na kumsambaratisha, baada ya hapo nikasema wewe lazima ulikuwa ni mzee maana isingelikuwa hivyo basi ungeishi, pia nikawaza kuwa hakujua kuwa ndio mwisho wake Nikafikiri pia kuua wanyama wengine kiukatili ni dhambi?
Replies
14
Views
347

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top