- Joined
- Jul 8, 2023
- Messages
- 1,320
- Reaction score
- 2,995
- Points
- 0
babu zetu wake zao hawakuwasumbua,walipoanza zimaneno walihama nyumba tu wahamia nyumba ya mke wa pili,ujazaliwa na mwanamke yanini akupe stress??
wanaume tunakufa mapema kwa sababu ya stress zinazotoka kwa wqanawake,sasa nakuambia usipate stress kutoka kwa mwanamke akikushinda achana naye ujazaliwa naye mbususa zipo nyingi
kwenye familia nyingi hapa bongo ukimuuliza mtoto baba yako yuko wapi majibu kashakufa,yani idadi ya wanaume kufa ni nyingi sana kwa sababu ya wanawake,sasa maisha yakupe stress pia mwanamke??
maisha mafupi sasa hivi nimeona bora nile bata mwanamke akijipendekeza nakula napita hivi sitaki kuweka kambi kwenye murtiple relation
wanaume tunakufa mapema kwa sababu ya stress zinazotoka kwa wqanawake,sasa nakuambia usipate stress kutoka kwa mwanamke akikushinda achana naye ujazaliwa naye mbususa zipo nyingi
kwenye familia nyingi hapa bongo ukimuuliza mtoto baba yako yuko wapi majibu kashakufa,yani idadi ya wanaume kufa ni nyingi sana kwa sababu ya wanawake,sasa maisha yakupe stress pia mwanamke??
maisha mafupi sasa hivi nimeona bora nile bata mwanamke akijipendekeza nakula napita hivi sitaki kuweka kambi kwenye murtiple relation