Tukiwa wadogo kulikuwa na story kuwa ukimnyoa paka akiingia kwenye tundu atashindwa kutoka. Hivyo kweli tulimnyoa paka na aliweza kuingia kwenye tundu cha ajabu hakuweza tokaKama alivyoingia
Mhhh paka gani na tundu lipi?Tukiwa wadogo kulikuwa na story kuwa ukimnyoa paka akiingia kwenye tundu atashindwa kutoka. Hivyo kweli tulimnyoa paka na aliweza kuingia kwenye tundu cha ajabu hakuweza toka
nilitamani kuandika hii kwa kingereza ila basi.
Kesi kama hizi unatakiwa uwapigie simu zimamotoHapo walikata tuu chap
Mwana kulitafuta
we jamaa ukubwa wa maadui ulianza kitambo sanaKwanza anakula stick kama zote ndio anatolewa....Nimeshangaa sana aliingia Je!? utoto bana taabu tupu...
Nakumbuka zamani niliwahi kunasa kwenye stuli ya miguu minne niliigeza juu chini kisha nikaingia na kukaa nikiwa nimenyoosha miguu yangu kimbembe kwenye kutoka aah! Niliangua kilio balaa ila mama akawa anasema ukome na ukaa hapo siku nzima nilipata shida sana siku hiyo
Unanikumbusha niliwai ingia kwenye ndooaiseeWasalaam
Ukikutana na tatizo kama hili na msaada unahitajika utafanya maamuzi yapi? Utamtoaje huyu mtoto hapa?
View attachment 437
Achaaa yan kuna ile hali u ataka kujaribu kitu alafu paah unajutaIla utoto jaman,sasa hapo ukimuuliza aliingiza kichwa kuchukua nini hana majibu
YaniiAchaaa yan kuna ile hali u ataka kujaribu kitu alafu paah unajuta
Hii ilinikuta piaaanishawai kuingiza kichwa kwenye ile nafasi ya nondo za dirishani ili nichungulie nje aiseeh kichwa kiliingia fresh ila kutoka ahaahahhh wakaniambia leo tutakata hayo masikio ili utokeKwanza anakula stick kama zote ndio anatolewa....Nimeshangaa sana aliingia Je!? utoto bana taabu tupu...
Nakumbuka zamani niliwahi kunasa kwenye stuli ya miguu minne niliigeza juu chini kisha nikaingia na kukaa nikiwa nimenyoosha miguu yangu kimbembe kwenye kutoka aah! Niliangua kilio balaa ila mama akawa anasema ukome na ukaa hapo siku nzima nilipata shida sana siku hiyo
Hiyo mimi pia niliwahi nasaUnanikumbusha niliwai ingia kwenye ndooaisee
haha hukupigwa makonzi usirudie?Unanikumbusha niliwai ingia kwenye ndooaisee
dah ulikuw cha utundu sio poaHii ilinikuta piaaanishawai kuingiza kichwa kwenye ile nafasi ya nondo za dirishani ili nichungulie nje aiseeh kichwa kiliingia fresh ila kutoka ahaahahhh wakaniambia leo tutakata hayo masikio ili utoke
Mwagia hilo para oil chafu itateleza vzr tuWasalaam
Ukikutana na tatizo kama hili na msaada unahitajika utafanya maamuzi yapi? Utamtoaje huyu mtoto hapa?
View attachment 437
hii mbinu ni ya kivitaMwagia hilo para oil chafu itateleza vzr tu
We hufai huchelewi kusema wampake mate shingoniMwagia hilo para oil chafu itateleza vzr tu
Kama haijabana sana mate pia kichwa kinapita fresh tu mbonaWe hufai huchelewi kusema wampake mate shingoni
haha mate kiasi ganiKama haijabana sana mate pia kichwa kinapita fresh tu mbona
oya acha uhuni nitakusemea kwa mzeeWe hufai huchelewi kusema wampake mate shingoni
Kumbe kuna mahali pa kumsemea?...oya acha uhuni nitakusemea kwa mzee
mzee kanikabidhi nihakikishe hafanyi utundu mtandaoniKumbe kuna mahali pa kumsemea?...
Hapo ndo kipengele,inabidi uite darasa A&B kisha uwape wale miwahaha mate kiasi gani
Mwarabu anazingua huyo anataka nile ban haapa ya bureKumbe kuna mahali pa kumsemea?...
brother bangi sio chakulaHapo ndo kipengele,inabidi uite darasa A&B kisha uwape wale miwa
Tutakutetea aiseeMwarabu anazingua huyo anataka nile ban haapa ya bure
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.