- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 7,627
- Reaction score
- 26,445
- Points
- 113
yule Mzee ni mjeda na hapendi kuamkiwa kwa sauti ya chini. Lazima upayuke shikamoo mzeeTutakutetea aisee
yule Mzee ni mjeda na hapendi kuamkiwa kwa sauti ya chini. Lazima upayuke shikamoo mzeeTutakutetea aisee
Ile hapana aisee,niliwahi kujaribu miaka ya zaman sana ikanikataa,yani najikuta nacheka hovyo,nikikuangalia tu najikuta nacheka hadi mbavu zinauma,kile kicheko cha maana kbs,na cjui kinatokea wapi kidadeki,kila nikipiga cheko halikauki,nikaona huu sasa udwanzibrother bangi sio chakula
Duh....hio nayo ni kipengele mkuuyule Mzee ni mjeda na hapendi kuamkiwa kwa sauti ya chini. Lazima upayuke shikamoo mzee
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.