- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 7,617
- Reaction score
- 26,430
- Points
- 113
Wasalaam
Katika dunia ya leo imekuwa kawaida sana kwa wanaume na wanawake kujichukulia sheria mkononi. Wengine wanaenda mbali zaidi kutumia vitendea kazi katika kufanikisha hili. Naposema vitendea kazi namaanisha vitu mfano sabuni, mafuta, tango, mate nk.
Swali langu la msingi: Je kujichua ni dhambi? Hili swali ni kwa watu wa dini zote.
Katika dunia ya leo imekuwa kawaida sana kwa wanaume na wanawake kujichukulia sheria mkononi. Wengine wanaenda mbali zaidi kutumia vitendea kazi katika kufanikisha hili. Naposema vitendea kazi namaanisha vitu mfano sabuni, mafuta, tango, mate nk.
Swali langu la msingi: Je kujichua ni dhambi? Hili swali ni kwa watu wa dini zote.