- Joined
- Jul 3, 2023
- Messages
- 1,897
- Reaction score
- 3,986
- Points
- 113
Wanasema kwamba unapooa mwanamke, umeaoa familia yake yote. je kuna ukweli katika hilo? Yani kwakua umeoa kwao lazima ushughulike na wakwe; shemeji, bibi babu, na ex wake(kidding)?..
tupe uzoefu/mtizamo wako hapa,,,, Karibu
tupe uzoefu/mtizamo wako hapa,,,, Karibu