- Joined
- Jun 3, 2023
- Messages
- 2,714
- Reaction score
- 6,233
- Points
- 113
Huyo kiti chake ni pembeni ya shetani huko motoniNaona unamsema @D'UsséV$OP Cognac na unasema ile story yake ya kuwa ana watoto mapacha hawezi uza bongo movie
Huyo kiti chake ni pembeni ya shetani huko motoniNaona unamsema @D'UsséV$OP Cognac na unasema ile story yake ya kuwa ana watoto mapacha hawezi uza bongo movie
Kuna barracuda huko motoniHuyo kiti chake ni pembeni ya shetani huko motoni
kwishaasijamaanisha hivyo upendo hautakabari, hauchagui wala hilo litakua ni suala dogo tu
kumbeeMbona tunajuana humu ndani hat KF tatizo lako hujataka kufahamiana na mtu. Kama nilivyo kutambulisha kwa wenzako wa mbinga
Huwa mkuona ID fake mnafikiri hatujuani? hujataka kuwa na rafiki tu
mfano @D'UsséV$OP Cognac nimesoma nae class moja kwa miaka miwili.
Yeah wewe ukitaka Juana na mtu utajuana tukumbee
the more you know someone the higher the risk, sijui nliisomaga wapi... kwa mm hapa kutojuana naona ndio safi maana naandika tu siwazi mtuYeah wewe ukitaka Juana na mtu utajuana tu
haha wewe sasathe more you know someone the higher the risk, sijui nliisomaga wapi... kwa mm hapa kutojuana naona ndio safi maana naandika tu siwazi mtu
sawa mzungu, nmefurahi kujua nachat na mzunguhaha wewe sasa
Hakuna risk yeyote this is family or social oriented hatuna mambo ya siasa wala kutukana watu we have nothing to hide
haha mzungu maana yake nina mambo ya kizingusawa mzungu, nmefurahi kujua nachat na mzungu
wa Mbinga ni mimi aisee kwenye kilimo cha Mahindi hukuMbona tunajuana humu ndani hat KF tatizo lako hujataka kufahamiana na mtu. Kama nilivyo kutambulisha kwa wenzako wa mbinga
Huwa mkuona ID fake mnafikiri hatujuani? hujataka kuwa na rafiki tu
mfano @D'UsséV$OP Cognac nimesoma nae class moja kwa miaka miwili.
Ila utaona humu wengi wananiita mwarabu kwa sababu ya rangi yangu.
ushauri mzuriHio ni kweli kabisa kuweni makini na hizi familia mnazoenda kuweka kambi.
Maana kuna vitu vingi vimo humo ukienda unaenda tu kufungamana nao jiulize kwann
Mfano: familia A inaweza kuwa tajiri kupindukia ukiwa na mahusiano na huyo binti tiyari na ww unaanza kuimarika kiuchumi kabla hata ya ndoa.
And vice versa is true hata kwenye baraka na laana au vifungo ni hivyo hivyo tu.
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.