- Jun 4, 2023
- 7,609
- 26,404
- 113
Uzee ni uhalisia na hauepukiki , huwa hatma ya kila mtu. Hali hii huwa inakaribia hatua ya mwisho ya maisha ya binadamu, lakini mwanasayansi wa maumbile David Sinclair anakanusha mtazamo huo.
Kwa mujibu wa utafiti ambao umefanywa zaidi ya miongo miwili, anasema kuwa kuna uwezekano wa kuzuia mtu kuzeeka mapema, kwa kuzingatia mambo kadhaa ili kuweza kumfanya mtu kuwa na afya njema kwa muda mrefu.
Mwanasayansi huyo anaamini kuwa ni lazima tubadili mitazamo yetu ya jinsi tunavyofikiri kuhusu umri: badala ya kuona kuwa ni mchakato wa kawaida tu na kuwa ni jambo asilia, tunapaswa kuona kuwa huo ni ugonjwa ambao unaweza kutibiwa na ukapona.
Unahisi utafananaje pale utakapofikia uzee wako? wengine hukosa meno, wengine hupata uwaraza, wengine hukosa uwezo wa kutembea nk
Uzee wangu nahisi nitakosa meno, napenda kula nyama hata nikikosa meno bado nitakula nyama tu.
Kwa mujibu wa utafiti ambao umefanywa zaidi ya miongo miwili, anasema kuwa kuna uwezekano wa kuzuia mtu kuzeeka mapema, kwa kuzingatia mambo kadhaa ili kuweza kumfanya mtu kuwa na afya njema kwa muda mrefu.
Mwanasayansi huyo anaamini kuwa ni lazima tubadili mitazamo yetu ya jinsi tunavyofikiri kuhusu umri: badala ya kuona kuwa ni mchakato wa kawaida tu na kuwa ni jambo asilia, tunapaswa kuona kuwa huo ni ugonjwa ambao unaweza kutibiwa na ukapona.
Unahisi utafananaje pale utakapofikia uzee wako? wengine hukosa meno, wengine hupata uwaraza, wengine hukosa uwezo wa kutembea nk
Uzee wangu nahisi nitakosa meno, napenda kula nyama hata nikikosa meno bado nitakula nyama tu.