- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Niaje wakuu,
hivi wabongo wanawazaga nini? Unakuta mtu anawazazi kijijini wakati wazazi wako hai hawajengei nyumba na hela ipo..
Ila mzazi akifa tu ndio anaanza kujenga kwa fujo(wiki moja), hizi hela za kujenga nyumba haraka hvi zinakuwaga wapi sku zote?..
Unajiuliza inamaana marehemu hakustaili kujengewa?
Au watz tuna heshimu kifo kuliko uhai?
Anza kutambua thamani ya mtu akiwa hai..
hivi wabongo wanawazaga nini? Unakuta mtu anawazazi kijijini wakati wazazi wako hai hawajengei nyumba na hela ipo..
Ila mzazi akifa tu ndio anaanza kujenga kwa fujo(wiki moja), hizi hela za kujenga nyumba haraka hvi zinakuwaga wapi sku zote?..
Unajiuliza inamaana marehemu hakustaili kujengewa?
Au watz tuna heshimu kifo kuliko uhai?
Anza kutambua thamani ya mtu akiwa hai..