- Jun 4, 2023
- 7,609
- 26,404
- 113
Tatizo la kunyonyoka kwa nywele na kuwa na kipara limekuwa likiwatatiza wanaume wengi kwa muda. Shida hii mara nyingi huanza wanaume wakiwa wana miaka 30 hivi, na kufikia umri wa miaka 50 nusu ya wanaume huwa wanakabiliwa na tatizo hili.
Tatizo hili hutokana na vinyweleo vya nywele, ambavyo huwa kina cha ukuaji wa nywele, kujinywea. Shughuli hii huendelea pole pole kwa muda mrefu. Kuna wengi wanaodai kuwa na tiba ya tatizo hili, baadhi wakitumia dawa za kisasa na wengine za kiasili lakini ufanisi wake huwa tofauti.
Toa mawazo jinsi ya kuzuia au kupunguza kasi ya uwaraza.
Tatizo hili hutokana na vinyweleo vya nywele, ambavyo huwa kina cha ukuaji wa nywele, kujinywea. Shughuli hii huendelea pole pole kwa muda mrefu. Kuna wengi wanaodai kuwa na tiba ya tatizo hili, baadhi wakitumia dawa za kisasa na wengine za kiasili lakini ufanisi wake huwa tofauti.
Toa mawazo jinsi ya kuzuia au kupunguza kasi ya uwaraza.