Msaada NATAFUTA MCHUMBA

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Kondeni0112

KF President
Platinum Villager
Joined
Jul 3, 2023
Messages
1,897
Reaction score
3,986
Points
113
Ndugu zangu nazani mnajua ya kwamba mimi niko single, nmekuja hapa ili mnisaidie jambo hili...
Kipindi cha nyuma kidogo nliangaliaga series ya GOT (game of throne).. kwa kweli nlijikuta nampenda sana huyu dada mother of dragon,
Nasijawai penda mdada mwingine mpaka leo hii, kwahvo inanibidi nimtafute tu yeye naomba mnipatie mbinu au connection ya kumpata....

Natanguliza shukran zangu....images (1).jpeg
 

AlmightyGod

New member
Joined
Jun 4, 2023
Messages
464
Reaction score
1,335
Points
0
wewe kama unanisaidia nisaidie, kama uwezi acha wasamaria watanisaidia kufikia ndoto zangu
Hii sio ndoto ila ni ishara kuwa umeanza kuchanganyikiwa taratibu...Hebu jiulize huko anapoishi anakutana na wangapi wenye mvuto na mkwanja mrefu na wenye umashuhuri mkubwa duniani...Sasa wewe kapuku unataka kutuletea hadithi za abunuasi hapa au pimbi na harakati zake mtaani....Fikiria zaidi acha kukaza fuvu...Tumia akili mtu wangu!
 

mshamba_mkuu

New member
Joined
Jun 4, 2023
Messages
1,563
Reaction score
4,525
Points
0
Hii sio ndoto ila ni ishara kuwa umeanza kuchanganyikiwa taratibu...Hebu jiulize huko anapoishi anakutana na wangapi wenye mvuto na mkwanja mrefu na wenye umashuhuri mkubwa duniani...Sasa wewe kapuku unataka kutuletea hadithi za abunuasi hapa au pimbi na harakati zake mtaani....Fikiria zaidi acha kukaza fuvu...Tumia akili mtu wangu!
clepatina alikukataa,

inauma sana
 

Similar threads

Wakuu nipo alone mwenyewe huku muda umesonga kigiza kimeingia ila sijui nipike nini au ninunue kiepe? Wadau nipeni mawazo msosi wa chap ambao hautumii nguvu na ela nyingi duh nimekuwa mvivu wa kufikitia Gily Leejay Katkit
Replies
15
Views
550
Tatizo la kunyonyoka kwa nywele na kuwa na kipara limekuwa likiwatatiza wanaume wengi kwa muda. Shida hii mara nyingi huanza wanaume wakiwa wana miaka 30 hivi, na kufikia umri wa miaka 50 nusu ya wanaume huwa wanakabiliwa na tatizo hili. Tatizo hili hutokana na vinyweleo vya nywele, ambavyo...
Replies
18
Views
338
Oya wadau mwenye mbinu ya kunisaidia niweze kuongeza pesa zangu mara mbili au zaidi, yaani kudoubling hela nliyonayo sasa.. tupeane michongo
Replies
64
Views
1K
Wanakijiji amani ya Mungu iwe nanyi Naomba msaada kwa ajili ya mtoto huyu wa mjomba. Kwanza mjomba alizaa na mwanamke wa kichagaa wakaachana sababu sifahamu kwani nilikua mdogo kiasi. Sasa baadae mjomba akaja kuoa mwanamke mwingine wa kichaga ambae yupo bae mpaka sasa. Msaada ninao taka kutoka...
Replies
12
Views
311
  • Article Article
Sehemu ya 1 Mapambano ya naanza ni siku nyingine Naitwa Thaibu kijana mchapa kazi, nilizaliwa mnamo tarehe 08/06/2004 nilimaliza elimu yangu ya msingi 2016 na siku bahatika kuendelea na shule hivyo nilitumia mwaka mzima nyumbani mpaka pale nilipoona kuwa sasa inabidi niyajenge maisha yangu...
Replies
13
Views
437

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom