Mshahara wako unatosha?

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Vp kwa mlio makazini mishahara yenu inatosha? maana naona kila siku gharama zinaongezeka...
Tupe mbinu unayo tumia kubalansi mshahara uleule zidi ya ongezeko la gharama za maisha...
mshahara unatosha kutegemea na matumizi yako. Kama matumizi makubwa mshahara hautoshi. Kama matumizi madogo mshahara unaweza kutosha kiasi chake
 

Little

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jun 28, 2023
Messages
303
Reaction score
876
Points
93
Hautoshi, hapa ndio huwa naamini Mungu ndo anaturuzuku maana kuna kipindi hali inakua tete lkn unatoboa
Vp kwa mlio makazini mishahara yenu inatosha? maana naona kila siku gharama zinaongezeka...
Tupe mbinu unayo tumia kubalansi mshahara uleule zidi ya ongezeko la gharama za maisha...
 

Watoto wa kidugala

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
195
Reaction score
704
Points
93
Leo ningekuwa kijana .
Haki nisingewaza kuajiliwa ila ningepambana nipate mtaji nifanye biashara binafsi kwa kujikongoja , je unajua kwanini ? Ndugu zangu hela ya kupokea baada ya siku kadhaa ni mbaya sana inadumaza ubongo , fikra na mipango .

Utasema kwanini ? Ni pale utachezea hela au utajiona Don kwasababu unajua mwisho wa mwezi utaingiza tena kiasi kingine ila ukiwa hauna hesabu ya mwisho wa mwezi kwa unayejielewa utaiheshimu hela .

Ila nikukumbushe kuwa hela ya kushika kila siku hata kama ni elfu moja ni tamu sana kuliko ya kusubiri uingiziwe mwisho wa mwezi , unauliza kwanini ? Wafuatilie wafanyabiashara wa kati na wadogo wengi wana nuru usoni , afya nzuri kiasi chake alafu njoo kwa wenzangu na mimi akina mwalimu , bwana daktari , askari na bwana mifugo wengi ukikaa naye kwa muda utagundua anafosi tabasamu ila yamemjaa .

Narudia tena , wengi wanaosubir mwisho wa mwezi daima uanza kunawiri na kuonekana maisha kayapatia baada ya kujenga nyumba kwa mkopo , kuwa na kigari cha mkopo na hapo akafungia kabiashara ambako uwa hakadumu kanapotea kwa walio wengi , sasa jiulize kwanini uanza kunenepa na kuonekana maisha wameyapatia .

Ndugu ukweli ni kuwa ukiwa unatoka kwenye familia za umasikini sana jambo la kwanza kupambana nalo ni ukombozi wa fikra na mawazo aisee ukijikuta bado unahisi kumiliki gari ni utajiri , mara gari aisee bado unaziishi mindset za kwenu huko umasikinini kwahivyo walio wengi wanaopokea mishahara uanza kunenepeana na kunawiri baada ya kumiliki huto tu vitu ni hapo mtu kwa kumiliki kagari ka mkopo na kanyumba kwa mkopo wa milioni 19 basi mindset yake umtuma kuwa katoboa tayari ni hapo anakuwa anaona kila kitu kipo sawa .

Maana hela ukatwa direct huko kwenye kamshahara sasa kichekesho uwa ni kwenye tugari wanatonunua maana hata kuafford kuyaendesha mwez mzima uwa ni shughuli pevu .

Itoshe kusema mshahara haujawahi kutosha na hautotosha ila kujiwekeza ni muhimu ila asikudanganye mtu hela ya day to day ni tamu sana maana kwako neno dharura ni la mara chache tofauti na wenzangu na mimi wao kila wakienda kukopa hawaishi kusema dharura 😀😀
 

Kondeni0112

KF President
Platinum Villager
Joined
Jul 3, 2023
Messages
1,897
Reaction score
3,986
Points
113
Leo ningekuwa kijana .
Haki nisingewaza kuajiliwa ila ningepambana nipate mtaji nifanye biashara binafsi kwa kujikongoja , je unajua kwanini ? Ndugu zangu hela ya kupokea baada ya siku kadhaa ni mbaya sana inadumaza ubongo , fikra na mipango .

Utasema kwanini ? Ni pale utachezea hela au utajiona Don kwasababu unajua mwisho wa mwezi utaingiza tena kiasi kingine ila ukiwa hauna hesabu ya mwisho wa mwezi kwa unayejielewa utaiheshimu hela .

Ila nikukumbushe kuwa hela ya kushika kila siku hata kama ni elfu moja ni tamu sana kuliko ya kusubiri uingiziwe mwisho wa mwezi , unauliza kwanini ? Wafuatilie wafanyabiashara wa kati na wadogo wengi wana nuru usoni , afya nzuri kiasi chake alafu njoo kwa wenzangu na mimi akina mwalimu , bwana daktari , askari na bwana mifugo wengi ukikaa naye kwa muda utagundua anafosi tabasamu ila yamemjaa .

Narudia tena , wengi wanaosubir mwisho wa mwezi daima uanza kunawiri na kuonekana maisha kayapatia baada ya kujenga nyumba kwa mkopo , kuwa na kigari cha mkopo na hapo akafungia kabiashara ambako uwa hakadumu kanapotea kwa walio wengi , sasa jiulize kwanini uanza kunenepa na kuonekana maisha wameyapatia .

Ndugu ukweli ni kuwa ukiwa unatoka kwenye familia za umasikini sana jambo la kwanza kupambana nalo ni ukombozi wa fikra na mawazo aisee ukijikuta bado unahisi kumiliki gari ni utajiri , mara gari aisee bado unaziishi mindset za kwenu huko umasikinini kwahivyo walio wengi wanaopokea mishahara uanza kunenepeana na kunawiri baada ya kumiliki huto tu vitu ni hapo mtu kwa kumiliki kagari ka mkopo na kanyumba kwa mkopo wa milioni 19 basi mindset yake umtuma kuwa katoboa tayari ni hapo anakuwa anaona kila kitu kipo sawa .

Maana hela ukatwa direct huko kwenye kamshahara sasa kichekesho uwa ni kwenye tugari wanatonunua maana hata kuafford kuyaendesha mwez mzima uwa ni shughuli pevu .

Itoshe kusema mshahara haujawahi kutosha na hautotosha ila kujiwekeza ni muhimu ila asikudanganye mtu hela ya day to day ni tamu sana maana kwako neno dharura ni la mara chache tofauti na wenzangu na mimi wao kila wakienda kukopa hawaishi kusema dharura 😀😀
shukrani mkuu 😂😂😂
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Leo ningekuwa kijana .
Haki nisingewaza kuajiliwa ila ningepambana nipate mtaji nifanye biashara binafsi kwa kujikongoja , je unajua kwanini ? Ndugu zangu hela ya kupokea baada ya siku kadhaa ni mbaya sana inadumaza ubongo , fikra na mipango .

Utasema kwanini ? Ni pale utachezea hela au utajiona Don kwasababu unajua mwisho wa mwezi utaingiza tena kiasi kingine ila ukiwa hauna hesabu ya mwisho wa mwezi kwa unayejielewa utaiheshimu hela .

Ila nikukumbushe kuwa hela ya kushika kila siku hata kama ni elfu moja ni tamu sana kuliko ya kusubiri uingiziwe mwisho wa mwezi , unauliza kwanini ? Wafuatilie wafanyabiashara wa kati na wadogo wengi wana nuru usoni , afya nzuri kiasi chake alafu njoo kwa wenzangu na mimi akina mwalimu , bwana daktari , askari na bwana mifugo wengi ukikaa naye kwa muda utagundua anafosi tabasamu ila yamemjaa .

Narudia tena , wengi wanaosubir mwisho wa mwezi daima uanza kunawiri na kuonekana maisha kayapatia baada ya kujenga nyumba kwa mkopo , kuwa na kigari cha mkopo na hapo akafungia kabiashara ambako uwa hakadumu kanapotea kwa walio wengi , sasa jiulize kwanini uanza kunenepa na kuonekana maisha wameyapatia .

Ndugu ukweli ni kuwa ukiwa unatoka kwenye familia za umasikini sana jambo la kwanza kupambana nalo ni ukombozi wa fikra na mawazo aisee ukijikuta bado unahisi kumiliki gari ni utajiri , mara gari aisee bado unaziishi mindset za kwenu huko umasikinini kwahivyo walio wengi wanaopokea mishahara uanza kunenepeana na kunawiri baada ya kumiliki huto tu vitu ni hapo mtu kwa kumiliki kagari ka mkopo na kanyumba kwa mkopo wa milioni 19 basi mindset yake umtuma kuwa katoboa tayari ni hapo anakuwa anaona kila kitu kipo sawa .

Maana hela ukatwa direct huko kwenye kamshahara sasa kichekesho uwa ni kwenye tugari wanatonunua maana hata kuafford kuyaendesha mwez mzima uwa ni shughuli pevu .

Itoshe kusema mshahara haujawahi kutosha na hautotosha ila kujiwekeza ni muhimu ila asikudanganye mtu hela ya day to day ni tamu sana maana kwako neno dharura ni la mara chache tofauti na wenzangu na mimi wao kila wakienda kukopa hawaishi kusema dharura 😀😀
Hii comment wasipoelewa hawa vijana basi

Iko hivi wakati naanza kufanya kazi Access bank nilikuta watu wamenenepa kweli. Cha kushangaza take home baada ya makato ilikuwa ni 320,000/- Sikutaka ku disappoint aliyenipeleka nikaona ngoja nikomae mwezi niache. Nilikomaa kwa akili ya kuacha huku na set mambo yangu mengine

Kweli in a month nikaacha ila nilinotice kitu. Wengi hunenepa hata kama wanalipwa kiasi kidogo Ukiona hela unaridhika hata kama hela za watu. Sema sio matusi kufanya kazi bank kunakufanya unalemaa sana. Tena wanaume wanakuja na hela wewe unawahesabia (no offense). Ila japo wote hawawezi kujiajiri vijana watafute kazi zenye maslai mazuri.

By 30 naishi kama mstaafu miaka yote naamka saa nne. Ila sadly miradi mingi iliingiwa na mikosi. Ila sasa nataka nisimame niifika 40 nataka niwe naamka saa sita mchana😬
 

Little

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jun 28, 2023
Messages
303
Reaction score
876
Points
93
Sawa babu, tatizo pakuanzianni wapi kwa sisi tuliotoka ktk familia ambazo hata ukidig vipi our history huipati
Leo ningekuwa kijana .
Haki nisingewaza kuajiliwa ila ningepambana nipate mtaji nifanye biashara binafsi kwa kujikongoja , je unajua kwanini ? Ndugu zangu hela ya kupokea baada ya siku kadhaa ni mbaya sana inadumaza ubongo , fikra na mipango .

Utasema kwanini ? Ni pale utachezea hela au utajiona Don kwasababu unajua mwisho wa mwezi utaingiza tena kiasi kingine ila ukiwa hauna hesabu ya mwisho wa mwezi kwa unayejielewa utaiheshimu hela .

Ila nikukumbushe kuwa hela ya kushika kila siku hata kama ni elfu moja ni tamu sana kuliko ya kusubiri uingiziwe mwisho wa mwezi , unauliza kwanini ? Wafuatilie wafanyabiashara wa kati na wadogo wengi wana nuru usoni , afya nzuri kiasi chake alafu njoo kwa wenzangu na mimi akina mwalimu , bwana daktari , askari na bwana mifugo wengi ukikaa naye kwa muda utagundua anafosi tabasamu ila yamemjaa .

Narudia tena , wengi wanaosubir mwisho wa mwezi daima uanza kunawiri na kuonekana maisha kayapatia baada ya kujenga nyumba kwa mkopo , kuwa na kigari cha mkopo na hapo akafungia kabiashara ambako uwa hakadumu kanapotea kwa walio wengi , sasa jiulize kwanini uanza kunenepa na kuonekana maisha wameyapatia .

Ndugu ukweli ni kuwa ukiwa unatoka kwenye familia za umasikini sana jambo la kwanza kupambana nalo ni ukombozi wa fikra na mawazo aisee ukijikuta bado unahisi kumiliki gari ni utajiri , mara gari aisee bado unaziishi mindset za kwenu huko umasikinini kwahivyo walio wengi wanaopokea mishahara uanza kunenepeana na kunawiri baada ya kumiliki huto tu vitu ni hapo mtu kwa kumiliki kagari ka mkopo na kanyumba kwa mkopo wa milioni 19 basi mindset yake umtuma kuwa katoboa tayari ni hapo anakuwa anaona kila kitu kipo sawa .

Maana hela ukatwa direct huko kwenye kamshahara sasa kichekesho uwa ni kwenye tugari wanatonunua maana hata kuafford kuyaendesha mwez mzima uwa ni shughuli pevu .

Itoshe kusema mshahara haujawahi kutosha na hautotosha ila kujiwekeza ni muhimu ila asikudanganye mtu hela ya day to day ni tamu sana maana kwako neno dharura ni la mara chache tofauti na wenzangu na mimi wao kila wakienda kukopa hawaishi kusema dharura 😀😀
 

Little

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jun 28, 2023
Messages
303
Reaction score
876
Points
93
Sawa babu, tatizo pakuanzianni wapi kwa sisi tuliotoka ktk familia ambazo hata ukidig vipi our history huipati
Hii comment wasipoelewa hawa vijana basi

Iko hivi wakati naanza kufanya kazi Access bank nilikuta watu wamenenepa kweli. Cha kushangaza take home baada ya makato ilikuwa ni 320,000/- Sikutaka ku disappoint aliyenipeleka nikaona ngoja nikomae mwezi niache. Nilikomaa kwa akili ya kuacha huku na set mambo yangu mengine

Kweli in a month nikaacha ila nilinotice kitu. Wengi hunenepa hata kama wanalipwa kiasi kidogo Ukiona hela unaridhika hata kama hela za watu. Sema sio matusi kufanya kazi bank kunakufanya unalemaa sana. Tena wanaume wanakuja na hela wewe unawahesabia (no offense). Ila japo wote hawawezi kujiajiri vijana watafute kazi zenye maslai mazuri.

By 30 naishi kama mstaafu miaka yote naamka saa nne. Ila sadly miradi mingi iliingiwa na mikosi. Ila sasa nataka nisimame niifika 40 nataka niwe naamka saa sita mchana😬

Leo ningekuwa kijana .
Haki nisingewaza kuajiliwa ila ningepambana nipate mtaji nifanye biashara binafsi kwa kujikongoja , je unajua kwanini ? Ndugu zangu hela ya kupokea baada ya siku kadhaa ni mbaya sana inadumaza ubongo , fikra na mipango .

Utasema kwanini ? Ni pale utachezea hela au utajiona Don kwasababu unajua mwisho wa mwezi utaingiza tena kiasi kingine ila ukiwa hauna hesabu ya mwisho wa mwezi kwa unayejielewa utaiheshimu hela .

Ila nikukumbushe kuwa hela ya kushika kila siku hata kama ni elfu moja ni tamu sana kuliko ya kusubiri uingiziwe mwisho wa mwezi , unauliza kwanini ? Wafuatilie wafanyabiashara wa kati na wadogo wengi wana nuru usoni , afya nzuri kiasi chake alafu njoo kwa wenzangu na mimi akina mwalimu , bwana daktari , askari na bwana mifugo wengi ukikaa naye kwa muda utagundua anafosi tabasamu ila yamemjaa .

Narudia tena , wengi wanaosubir mwisho wa mwezi daima uanza kunawiri na kuonekana maisha kayapatia baada ya kujenga nyumba kwa mkopo , kuwa na kigari cha mkopo na hapo akafungia kabiashara ambako uwa hakadumu kanapotea kwa walio wengi , sasa jiulize kwanini uanza kunenepa na kuonekana maisha wameyapatia .

Ndugu ukweli ni kuwa ukiwa unatoka kwenye familia za umasikini sana jambo la kwanza kupambana nalo ni ukombozi wa fikra na mawazo aisee ukijikuta bado unahisi kumiliki gari ni utajiri , mara gari aisee bado unaziishi mindset za kwenu huko umasikinini kwahivyo walio wengi wanaopokea mishahara uanza kunenepeana na kunawiri baada ya kumiliki huto tu vitu ni hapo mtu kwa kumiliki kagari ka mkopo na kanyumba kwa mkopo wa milioni 19 basi mindset yake umtuma kuwa katoboa tayari ni hapo anakuwa anaona kila kitu kipo sawa .

Maana hela ukatwa direct huko kwenye kamshahara sasa kichekesho uwa ni kwenye tugari wanatonunua maana hata kuafford kuyaendesha mwez mzima uwa ni shughuli pevu .

Itoshe kusema mshahara haujawahi kutosha na hautotosha ila kujiwekeza ni muhimu ila asikudanganye mtu hela ya day to day ni tamu sana maana kwako neno dharura ni la mara chache tofauti na wenzangu na mimi wao kila wakienda kukopa hawaishi kusema dharura 😀😀

Sawa baba tumekuelewa wanao tutafuata ushauri wqko
Hivi wew jinsia yangu inakutatiza
 

Watoto wa kidugala

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
195
Reaction score
704
Points
93
Sawa babu, tatizo pakuanzianni wapi kwa sisi tuliotoka ktk familia ambazo hata ukidig vipi our history huipati





Hivi wew jinsia yangu inakutatiza
Naelewa ni nini unazungumza ila rafiki mtaji ni kidogo cha kuanzia sio mamilioni , natambua uwepo wa familia ambayo huwezi pewa mtaji uwe mdogo au mkubwa kubali kuenyeka walau mwaka kwa kuajiliwa ila baada ya hapo utafute uhuru wako ndugu yangu.
 

Watoto wa kidugala

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
195
Reaction score
704
Points
93
Hii comment wasipoelewa hawa vijana basi

Iko hivi wakati naanza kufanya kazi Access bank nilikuta watu wamenenepa kweli. Cha kushangaza take home baada ya makato ilikuwa ni 320,000/- Sikutaka ku disappoint aliyenipeleka nikaona ngoja nikomae mwezi niache. Nilikomaa kwa akili ya kuacha huku na set mambo yangu mengine

Kweli in a month nikaacha ila nilinotice kitu. Wengi hunenepa hata kama wanalipwa kiasi kidogo Ukiona hela unaridhika hata kama hela za watu. Sema sio matusi kufanya kazi bank kunakufanya unalemaa sana. Tena wanaume wanakuja na hela wewe unawahesabia (no offense). Ila japo wote hawawezi kujiajiri vijana watafute kazi zenye maslai mazuri.

By 30 naishi kama mstaafu miaka yote naamka saa nne. Ila sadly miradi mingi iliingiwa na mikosi. Ila sasa nataka nisimame niifika 40 nataka niwe naamka saa sita mchana😬
Safi sana Gily , kulipwa mshahara mkubwa au mdogo haibadilishi kitu kinachowanenepesha ni heshima uchwara unazopewa mtaani na vile una uhakika wa kitu mwisho wa mwezi ila ukweli ni kuwa unajipoteza sana .

Hongera sana , mm sio mnafiki nimefanya kazi mpaka nastaafu ila itoshe kusema waliojiajiri wa rika langu ni maboss sana , mimi namshukuru tu shemeji yenu ndiyo anafanya nitambe hapa bila hivyo yangenikuta

Lakini jamani 2025 imekaribia watu wa mbeya tujuane mapema , maana dunia duara
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Connection zinapatikana ila shida zina majuto sana unamsaidia mtu kisa alikupa kidogo utamu basi akipata kazi yaani ni dharau kwenda mbele ila sio wote .

Yote kwa yote 2025 sio mbali tutaonana tu .
Haha 2025 unataka urudi kwenye ulingo w siasa? Safari hii unagombea ubunge🤣
Litakukuta jambo mzee
 

Watoto wa kidugala

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
195
Reaction score
704
Points
93
Haha 2025 unataka urudi kwenye ulingo w siasa? Safari hii unagombea ubunge🤣
Litakukuta jambo mzee
Wacha linikute tu yaani watu ulikuwa nao bar eti leo wapo wanakula mahela ya dipii wedi , wacha na mm niende nikazile kidogo nijenge na kaburi kabisa , maana sioni dalili ya teuzi tena hapa
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Wacha linikute tu yaani watu ulikuwa nao bar eti leo wapo wanakula mahela ya dipii wedi , wacha na mm niende nikazile kidogo nijenge na kaburi kabisa , maana sioni dalili ya teuzi tena hapa
Shida bwana shemeji kafariki angekupa uteuzi. Ukashindwa kwenda sambamba na dada yake😀

Siasa ngumu sana mzee angalia usipate sonona
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Haha ulifeli hapo umeshindwa kula sambamba na kipofu mzee wangu
Dada yake angekuweka kwenye mstari bado wana marafiki wa kutosha tu
Dada yake akuona cha muhimu kwangu bwana .
Nahitaji kujaribu kurudisha legacy ya familia ila shemeji mtu mmbaya sana yule
Ila sasa hivi naona simu zako za msoga zitakuwa haziiishi. Tanzania one atakuangusha hata kama mnafahamiana
 

Similar threads

Wakuu kwema? Najua walimu niwatu wanaopaswa kupewa heshima kwakua wametutoa ujinga mwingi.. Ila kuna mambo ambayo nikiwa nasoma walimu walikua wanafanya nikifikiria kwa sasa naona kama walikua na akili za kitoto au walizingua... je kuna jambo walimu wako walizingua? Au kuna utoto walimu walikua...
Replies
13
Views
385
Nimekutana na ex wangu leo nilitamani kukutana nae siku moja nimulize kwa nini aliniacha? Nikamuuliza kwa Nini ulivunja mahusiano? Akanijibu "kwa sababu hakuwa ananipenda" Hii imenifanya niwaze sana. Nimewaza kwa sababu mara ya mwisho kusex nilimkalisha kifo cha mende. Baada ya dakika...
Replies
26
Views
704
Wakuu kwemaa? Tatizo ni mwanamke kumzidi mume wake kipato au tatizo ni mwanamke kutaka kua mwanaume ndani ya nyumba?.. Nauliza hivo kwasababu wanawake wengi wenye cheo, pesa, umaarufu ndoa zao nyingi zinakuaga na chengachenga... Naomba wanawake muwe wakweli je mnapenda kuwazidi waume zenu kipato?
Replies
18
Views
384
Ipi ni njia sahihi ya kutafuta mwenza wako? unatakiwa umchague kwa kutumia akili? au umchague kwa kutumia moyo wako? Ukitumia moyo wako kumchagua inawezekana kwa asilimia kubwa hana sifa baadhi ambazo zinawaunganisha. Unaweza mpenda mke wa mtu, kwa sababu umempenda kwa moyo ukamchagua...
Replies
44
Views
754
Iko hivii.. Zuia ulimi wako usinene mabaya Mtume Petro anatueleza kwamba ‘Kwa maana, Atakaye penda maisha, Na kuona siku njema, Auzuie ulimi wake usinene mabaya, Na midomo yake isiseme hila’ (1Petro 3:10). Ikiwa unataka kuwa na maisha yenye furaha na amani basi chunga sana unayoyasema...
Replies
2
Views
139

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom