- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Wakuu nafanya iwe fupii ili tuende pamoja...
Biblia inaeleza habari za kupanda na kuvuna, chochote anacho panda mtu ndicho anacho vuna, ilo hata wewe unalijua( well done)...
Kuhusu MASKINI Biblia inaeleza tena kuwa, watu wanapewa mali na Mungu ili wasaidie wengine ili umasikini uwe Zero(hamna)...
Kumbuka tunaongelea kupanda na kuvuna, Ukitoa hela au msaada wowote kwa muhitaji, unakuwa UMEPANDA kwahyo utavuna, kwa lugha ingine umemkopesha BWANA nae ni mwaminifu atakurudishia zaidiii. Soma hapaa
Mithali 19:17
17 Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana; Naye atamlipa kwa tendo lake jema.
Nazani umesha anza kupata picha kamili. Ili kupata ukweli zaidi wa jambo ili unaweza kusoma pia zaburi ya 41:1 na Mathayo 10:42
Watu wengi wanatamani kukutana na Mungu na kufanya jitiada mbalimbali, nakushauri mwana KF anza leo kumtafuta kupitia njia hii utamuona kirahisii, ni rahisi saana..
NB:Usisaidie mtu ukampiga picha then ukaanika picha kwenye social media hapo unakua umesha JILIPA..
JUMAPILI NJEMAA
Biblia inaeleza habari za kupanda na kuvuna, chochote anacho panda mtu ndicho anacho vuna, ilo hata wewe unalijua( well done)...
Kuhusu MASKINI Biblia inaeleza tena kuwa, watu wanapewa mali na Mungu ili wasaidie wengine ili umasikini uwe Zero(hamna)...
Kumbuka tunaongelea kupanda na kuvuna, Ukitoa hela au msaada wowote kwa muhitaji, unakuwa UMEPANDA kwahyo utavuna, kwa lugha ingine umemkopesha BWANA nae ni mwaminifu atakurudishia zaidiii. Soma hapaa
Mithali 19:17
17 Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana; Naye atamlipa kwa tendo lake jema.
Nazani umesha anza kupata picha kamili. Ili kupata ukweli zaidi wa jambo ili unaweza kusoma pia zaburi ya 41:1 na Mathayo 10:42
Watu wengi wanatamani kukutana na Mungu na kufanya jitiada mbalimbali, nakushauri mwana KF anza leo kumtafuta kupitia njia hii utamuona kirahisii, ni rahisi saana..
- Unaposaidia maskini nguo unakua umemsitiri Yesu.. (hapo Yesu mwenyewe anakwambia nilikua uchi ukanivisha mwana KF),
- Unapo mpa chakula muitaji Yesu anasema nilikua na njaa ukanilisha mwana KF
- Unapo tembelea wagonywa na wafungwa Yesu anasema nilikua naumwa na kifungoni ukanitembelea(simple)
NB:Usisaidie mtu ukampiga picha then ukaanika picha kwenye social media hapo unakua umesha JILIPA..
JUMAPILI NJEMAA
Last edited by a moderator: