- Joined
- Jul 3, 2023
- Messages
- 1,883
- Reaction score
- 3,969
- Points
- 113
Habari za wakati huu.. natumai haujambo, hata mimi niko salama sana..
Nimeanzisha uzi huu ili kujaribu kutoa tafsiri ya ndoto zako KIBIBLIA..
Kwahyo nakaribisha yeyote kushare ndoto yake hapa na mimi nitajitaidi kukupa tafsiri yake sawasawa na neno, kumbuka biblia ina kila kitu na ndio ntakayokua naitumia kutafsiri kila ndoto utakayo weka hapa..
Pia ntaendelea kuanda na kuweka hapa maana ya ndoto, aina za ndoto, ukiota ufanye nini nk.
Karibuni
Nimeanzisha uzi huu ili kujaribu kutoa tafsiri ya ndoto zako KIBIBLIA..
Kwahyo nakaribisha yeyote kushare ndoto yake hapa na mimi nitajitaidi kukupa tafsiri yake sawasawa na neno, kumbuka biblia ina kila kitu na ndio ntakayokua naitumia kutafsiri kila ndoto utakayo weka hapa..
Pia ntaendelea kuanda na kuweka hapa maana ya ndoto, aina za ndoto, ukiota ufanye nini nk.
Karibuni