- Jun 26, 2023
- 636
- 1,321
- 0
au s20 ultra ?Hizi zishapitwa na wakati ku amatoleo kuntu ya Samsung
au s20 ultra ?Hizi zishapitwa na wakati ku amatoleo kuntu ya Samsung
Hizi zishapitwa na wakati ku amatoleo kuntu ya Samsung
Sana, mpaka najuta, mchana wa leo nimetamani samsung for real. Nitatumia tu android tenaNimecheka sana
Kwa utumiaji mzuri Samsung imetulia sana ishi humo humo kwenye Samsung. Shida ya iphone iko limited sana katika matumizi yake
hapo bienau s20 ultra ?
wewee aach nusu niropoke jina lakoSana, mpaka najuta, mchana wa leo nimetamani samsung for real. Nitatumia tu android tena
iPhone zina uchoyo, zinanikera limitation ni nyingi.wewee aach nusu niropoke jina lako
Najua unapenda iPhone imekuaje uje kwenye Samsung?
kweli kabisa ila umakuta mtu anamikik iPhone 5 anazema an iPhoneiPhone zina uchoyo, zinanikera limitation ni nyingi.
Hivi kumbe bado zipo?kweli kabisa ila umakuta mtu anamikik iPhone 5 anazema an iPhone
Ile ya kwako kama sio 6 basi 6 +Hivi kumbe bado zipo?
Wala tuIle ya kwako kama sio 6 basi 6 +
Mimi na hao ndugu zako letu mojaMiaka inaenda kasi sana , leo nipo na ndugu zangu wenye matamanio na simu mimi hata sijui natamani simu gani ? Nilikuwa na samsung wakasema za madon bichwa likavimba sana , nikatumia iphone wakasema za wanawake , sasa nimenunua tena samsung .
Hivyo itoshe ninyi kuniamulia ila mimi hata sijui natamani simu gani
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.