Haha nasubiri kwa hamu kisa cha pili....
Tukio ambalo nikikumbuka nacheka ni mkasa wangu ule ulionikuta Guest nilivyoingia kumbe niliacha mlango wazo akili inaniambia niko nyumbani.
Tukio La Kwanza:
Nilikuwa na hamu sana na papuchi nilipofika tu nikavua nguo sasa napiga simu demu wangu yuko mbali sana nikasema ngoja nijilaze kitandani usingizi ukanipitia. Kuja kushtuka nakuta niko uchi bado na mlango uko wazi kumbe sikulock aisee.
Nawazaga tu hivi hakuna aliyenipiga picha kweli, siku nikikuta picha zangu huko mtandaoni nimelala huku dudu limesimama sitoshangaa
Tukio la Pili:
Kuna jamaa alinishawishi kwenda kufanyiwa massage pande za Kino doni Morocco Kuingia chumba cha massage akaja dada mzuri sana aisee akaniambia nichague aina ya massage nayotaka. Kwa kuwa nilikuwa muoga nikamuomba anipe the best hela ipo asiwaze
Kilichofatiwa nililala na tumbo yule dada akavua nguo zake zote akanipa mafuta mgongoni kisha akapanda juu na kuanza kunisugua body to body massage.
Akaongeza mafuta na kuanza kunisugua na matako yake malaini laini kwa kweli nilifurahi sana. Ila sasa ilinitoka laki moja kwa ajili ya massage tu. Japo nilifurahia ile yule dada sijui hakuchamba vizuri maana mgongo wangu wote ulinuka MAVI.
Tukio La Tatu:
Tukio hili la tatu si la kufurahisha ila kuna mda nikiwaza huwa nacheka mwenyewe tu
Kuna mzee alibanwa na haja hapo tunatokea Handeni Tanga sasa akawa anakuja kumwambia dereva asimamishe bus, ila konda na dereva wakawa wagumu kumsikiliza.
Trip kama tano za kutoka nyuma ya bus mpaka mbele watu tukajua kuwa mzee anaulizia kituo kapotea.
Ile Trip ya Sita si mzee akanza kujinyea kuanzia siti ya mwisho kamalizia kujinyea alipofika kwa dereva.
haha
tulivumilia ile harufu mpaka tunaingia Chalinze. Jamaa akawa amefika kwake akashuka na mzee akampa nguo nyingine. Safari yangu iliishia hapo Chalinze nikachukua gari jingine
Ile naingia kwa bus lingine coaster ya Morogoro ni kama nilikuwa nimejipulizia perfume ya marashi ya mavi maana ile harufu niliingia nayo plus nimetakanyga yake mavi kwenye bus. Aisee hii siku sitaki kuikumbuka
WHAT A DAY!!