- Jun 4, 2023
- 7,609
- 26,404
- 113
- Thread starter
- #61
naona hutaki kusemaNafanana na na na na ,,,na ,,,na
Daah hakuna kabisa ila bado miaka kama mitano hivi wa kufanana na mtu mimi maarafu atakuja hapa
naona hutaki kusemaNafanana na na na na ,,,na ,,,na
Daah hakuna kabisa ila bado miaka kama mitano hivi wa kufanana na mtu mimi maarafu atakuja hapa
Hahahahahaaa@Gily umefanana na mwijaku bwana tofauti yenu rangi tu
Hahahaaaa...Kuna clip alilala kwenye mti akajisahau akaanguka..Watu chini ya mti wakauliza kulikoni. Akajibu "nimeiva nileni" Nilicheka sana
Brother class mate wako ngoja nikuambie ukweli. Unafanana sana na Rick RossUsher nimefanana na yeye hadi tarehe ya kuzaliwa na mwezi 14/10/.....
View attachment 474
Jay Z nimefanana na yeye sura hadi roho na akili ya utafutaji...
View attachment 475
Hahahaaaa hapana mimi sina unene kiasi hicho na sina mandevu....Halafu mchizi ana historia mbovu sana...Hapo kitambo kidogo aliwahi kuwa askari magereza, Ilitokea siku alifungwa jamaa mmoja hivi drug dealer na ndie alikua anaitwa Rick Ross au Rozay... na alikua mwandishi mzuri sana wa mashairi sasa kutokana na kesi yake kuwa ngumu na alikosa dhamana kabisa ikambidi amtumie huyo bonge Rick Ross wa sasa kuendeleza mipango yake n’je alimpa ramani ya mipango yote ila cha ajabu bonge rick ross alimgeuka na kuacha kazi akakimbia mji na kuhamia mji mwengine na kuanza kuishi maisha ya yule mfungwa kama alivyochorewa ramani na mashairi aliandikiwa akaenda studio na kuanza kutoa ngoma moja moja hadi leo amekuwa mtu maarufu kupitia nyota ya mtu mwingine....Brother class mate wako ngoja nikuambie ukweli. Unafanana sana na Rick Ross
View attachment 476
Kijiji kina madini sana hiki haya tungeyajua wapi. Hebu andika historia hii kule kwenye celebrities tupate historia zake.Hahahaaaa hapana mimi sina unene kiasi hicho na sina mandevu....Halafu mchizi ana historia mbovu sana...Hapo kitambo kidogo aliwahi kuwa askari magereza, Ilitokea siku alifungwa jamaa mmoja hivi drug dealer na ndie alikua anaitwa Rick Ross au Rozay... na alikua mwandishi mzuri sana wa mashairi sasa kutokana na kesi yake kuwa ngumu na alikosa dhamana kabisa ikambidi amtumie huyo bonge Rick Ross wa sasa kuendeleza mipango yake n’je alimpa ramani ya mipango yote ila cha ajabu bonge rick ross alimgeuka na kuacha kazi akakimbia mji na kuhamia mji mwengine na kuanza kuishi maisha ya yule mfungwa kama alivyochorewa ramani na mashairi aliandikiwa akaenda studio na kuanza kutoa ngoma moja moja hadi leo amekuwa mtu maarufu kupitia nyota ya mtu mwingine....
Nitaweka story ya maisha ya tupac na notorious big ila hadi unirudishie umod kwanzaKijiji kina madini sana hiki haya tungeyajua wapi. Hebu andika historia hii kule kwenye celebrities tupate historia zake.
Love it. .
I saw it on ID walieleza documentary moja safi sana.Nitaweka story ya maisha ya tupac na notorious big ila hadi unirudishie umod kwanza
Sihitaji kuwa mod kwa ajili ya malipo ila nakua na uwanja mpana sana wakati wa uandishi hata kuedit uzi inakua safi line neno edited linakuwa halitokei kwa sababu kuna option ya kuedit silence...I saw it on ID walieleza documentary moja safi sana.
Mods hawalipwi mzee sasa tunataka kuwaajiri mods wanawake kwa sababu wanaume wanatumia madaraka vibaya
Kwani kule site nyingine unafikiri kuna mods wanaume wote wanawake unafeli wapi.Sihitaji kuwa mod kwa ajili ya malipo ila nakua na uwanja mpana sana wakati wa uandishi hata kuedit uzi inakua safi line neno edited linakuwa halitokei kwa sababu kuna option ya kuedit silence...
Dah! Yani uwape umod mademu itakua kazi kweli ban hazita kauka hawatajua ni utani wala nini wapita na yeyote hata ukitumia neno mjinga sana...Unakula ban kwa sababu vichwani mwao hilo neno limeclick kuwa ni tusi kubwa sana
Yupi @Hakimu , @mshamba_mkuu au huyo aliebadilisha jinaKwani kule site nyingine unafikiri kuna mods wanaume wote wanawake unafeli wapi.
Dah nimecheka hapa kuna mod Kani text kuwa ukipewa umod wewe yeye anajitoa
@Hakimu njoo huku
Nimesema mods @Hakimu sio mod ni adminYupi @Hakimu , @mshamba_mkuu au huyo aliebadilisha jina
Wacha napita kimya maana bomu limeteguliwa manataka kuunga nyaya tena ili tulipuke woteKwani kule site nyingine unafikiri kuna mods wanaume wote wanawake unafeli wapi.
Dah nimecheka hapa kuna mod Kani text kuwa ukipewa umod wewe yeye anajitoa
@Hakimu njoo huku
Atakua na matatizo yake binafsi na anaroho ya korosho huyo hafai msikitini wala kanisaniNimesema mods @Hakimu sio mod ni admin
Ngoja nimpe nusu saa ajitokeze mwenyewe aeleze kwa nini hataki kufanya kazi na wewe
I am very curious
Una mafumbo sijaelewa hiiWacha napita kimya maana bomu limeteguliwa manataka kuunga nyaya tena ili tulipuke wote
+1
Punguza roho mbaya dogo unataka ukifaa kwenye kaburi lako tuweke picha ya kijiji forum badala ya mashadaWacha napita kimya maana bomu limeteguliwa manataka kuunga nyaya tena ili tulipuke wote
+1
Msiba wangu utakuwa mpishi, kipindi wananizika wewe utakuwa unaosha vyomboPunguza roho mbaya dogo unataka ukifaa kwenye kaburi lako tuweka picha ya kijiji forum badala ya mashada
Utafika mbinguni ukiwa hoi sanaMsiba wangu utakuwa mpishi, kipindi wananizika wewe utakuwa unaosha vyombo
Ila kwenye avatar ukamuweka Mersiaisee niko kama Neymar
@Ms eyes umemuona @mshamba_mkuu ?mimi naambiwaga nimefanana na meek mill
View attachment 414
pia donald glover kidogo
View attachment 415
umeanza tena@Ms eyes umemuona @mshamba_mkuu ?
Namuona@Ms eyes umemuona @mshamba_mkuu ?
aah hahahaNamuona
uyu jamaa nlishawai kumuona kwenye muvi moja inausu pete ya ajabu... nilimkubali sana ntaitafuta niicheki tenaHumu ndani hakuna anayekujua zaodi yangu wewe unafanana na Gollum
View attachment 416
Inaitwa "Lord of the Ring"uyu jamaa nlishawai kumuona kwenye muvi moja inausu pete ya ajabu... nilimkubali sana ntaitafuta niicheki tena
kitu kama ichoo, ntaicheki tena jamaa aliniburudisha sana kuleInaitwa "Lord of the Ring"
My precious dah must be one of the most watched movieskitu kama ichoo, ntaicheki tena jamaa aliniburudisha sana kule
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.