- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
mimi sifatiliagi kujua kama imetrend wala nini nkicheki muvi inaishia hapo mara nyingi jina nasahauMy precious dah must be one of the most watched movies
mimi sifatiliagi kujua kama imetrend wala nini nkicheki muvi inaishia hapo mara nyingi jina nasahauMy precious dah must be one of the most watched movies
hahahahahahahah
huyo ni @Dr santos
Nikajua unafanana na Malcolm XKichwa changu kilivo kama treni sijui hata nimefanana na nani mimi.
YOU ARE TOTALLY WRONG MY DEAR!!!!!Nikajua unafanana na Malcolm X
MhNafanana na Putin
Unayo?My precious dah must be one of the most watched movies
Maandazi yako wapi? Chai kavu hainywekiNafanana na Putin
wewe unafanana na nani kaka mkubwa?Maandazi yako wapi? Chai kavu hainyweki
Jesuswewe unafanana na nani kaka mkubwa?
Series yake ukija home unipe taarifa nikachukue kwa mdogo wangu home anayo kwenye externalUnayo?
mbona kama umegusa mule muleYesu wa KenyaView attachment 940
Hatari sana sikuimalizagaSeries yake ukija home unipe taarifa nikachukue kwa mdogo wangu home anayo kwenye external
Oya nitakinukisha humu ndani msikaeYesu wa KenyaView attachment 940
Jamaa jau sanambona kama umegusa mule mule
Muhindi Wa Kuchoma utakula ban we cheza na sharubu za simbaJamaa jau sana
Nisamehe kaka mkubwa ni utani tuOya nitakinukisha humu ndani msikae
Unafanana na Malcom X kwa sifa au muonekano?Niliambiwa nafanana na Malcom X
Kwani hapa si wanaongelea muonekano, au nimechanganyaUnafanana na Malcom X kwa sifa au muonekano?
Nimeuliza tu kaka mkubwaKwani hapa si wanaongelea muonekano, au nimechanganya
anapigwa lini msalabani?Yesu wa KenyaView attachment 940
Pasaka alikimbiaanapigwa lini msalabani?
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.