tuwe na staha jukwaani tafadhaliAngalia kuwa makini ukijamba ndani ya tracksuit harufu Inatembea ndani kwa ndani mpaka puani
tracksuti sio overall eh
Mshahara ulikuwa mdogo kipindi hicho 320,000 wakati naweza tengeneza zaidi ya hapo mwenyeweIla kwanini uliacha
AhahahhAngalia kuwa makini ukijamba ndani ya tracksuit harufu Inatembea ndani kwa ndani mpaka puani
tracksuti sio overall eh
Sawasawa,, vizuri kama ni hivyoMshahara ulikuwa mdogo kipindi hicho 320,000 wakati naweza tengeneza zaidi ya hapo mwenyewe
Nilisomea ujobless na saizi ndio jobless kamili mpenzi wangu.@Katkit kipenzi unafanya kazi gani,, maana mimi sijazoea shida kabisa kipenzi í ½í¸í ½í¸
Sawa,,, basi tuendelee kulala..uhakika wa kula si upo lakini na bandoNilisomea ujobless na saizi ndio jobless kamili mpenzi wangu.
Nakula mpaka nasaza, bando pia sio shida.Sawa,,, basi tuendelee kulala..uhakika wa kula si upo lakini na bando í ½í¸í ½í¸
Namna hiyo....life is very simple
Basi sawa nipo karibu yako kipenziNakula mpaka nasaza, bando pia sio shida.
Tutakua tunaamka saa11 asubuhi joggingmwenzako hii itamkuta asipofanya mazoezi analala home tu siku nzimaView attachment 552
Tuishi.Basi sawa nipo karibu yako kipenzi í ½í¸í ½í¸
Mpaka saizi kilo zangu 56 tu na sina kitambi, mwili wangu ni wakuishi miaka 100mwenzako hii itamkuta asipofanya mazoezi analala home tu siku nzimaView attachment 552
Tuishi.
upo pazuri zinalipa i bet unaenjoy sanaNafanya kazi ndogondogo zikitokea, Nasomea IT napenda kuwa mtaalamu wa software na robotics
sawa mkuu tutakuona tukiwa na shida kama hizonafanya video editing, ila nasomea IT
nilisomaga o level nikajua mimi huyu apa Engineer nikashindwa nabaki natengeneza tu turedio na Excel yangu basi
kuna tofauti kati ya kusomea na kua mtaalamsawa mkuu tutakuona tukiwa na shida kama hizo
nguruwe unafuga pia maana wana hela hasa hawa LandraceNimesoma uchumi na biashara, kwasasa napiga ishu yoyote iliyo mbele yangu,,, ila na enjoy sana kufuga
kuna tofauti kati ya kusomea na kua mtaalam
Hahaha haufanani na ujobless hata kidogomajobless tunacomment wapi
hio iko makini aiseeungeongeza na digital marketing kwa mbalii
usikute inamlipa zaidiIla kwanini uliacha
patamu hapo@Katkit kipenzi unafanya kazi gani,, maana mimi sijazoea shida kabisa kipenzi
kama ulikuwa kwenye sensa unaweza ukasapoti hii kitu mnachosoma na mnachoenda kufanya tofauti kabisana bahati mbaya, kilicho kwenye mtaala na ground ni vitu viwili tofauti
nimesoma EE(na kumaliza kwa mbinde sana) lakini nacho kiapply 'field' ni mbingu na ardhi wallahi
Kwanini mkuuHahaha haufanani na ujobless hata kidogo
Kwakweliusikute inamlipa zaidi
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.