- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Wakuu kwema?
Najua walimu niwatu wanaopaswa kupewa heshima kwakua wametutoa ujinga mwingi..
Ila kuna mambo ambayo nikiwa nasoma walimu walikua wanafanya nikifikiria kwa sasa naona kama walikua na akili za kitoto au walizingua...
je kuna jambo walimu wako walizingua? Au kuna utoto walimu walikua nao kipindi unasoma?
Kwa mfano kuna tukio moja liliwai kutokea shuleni(sekondari) lilikuwa la kufurahisha sana maana hatukuwai kukutana na tukio kama hili.
Ilikua mida ya asubuhi saa tano tuko busy klass mara ghafla ikagongwa kengele ya dharura.
Kwahyo wote tukakusanyika kila mwanafunzi akiwaza nini tatizo au niukaguzi wa ghafla?
Kila mmoja alikuwa na lake la kuwaza..
Mwalimu wa zamu alifika akiongozana na walimu wenzake na jamaa mmoja( mwanfunzi wa 4m 4) akaambiwa apige magoti..
Tukajua jamaa kashikwa akiwa ametoroka au kapiga tukio baya. Ila cha kisikitisha mwalimu wa zamu akasema mnaye muona mbele yenu amepewa adhabu ya kurudi nyumbani wiki moja na viboko vya kutosha na siku ya kurudi anatakiwa aje na mzazi kwa kosa la kwenda kujisaidia(kwenda haja) kwenye vyoo vya walimu..
Wanafunzi walicheka sana na jamaaa akanyeshewa mvua ya fimbo..
Sasa najiuliza hawa walimu walishindwa kumuadhibu ofisin wenyewe, mpaka wapige na kengele na kutujulisha wote? Pia kulikua kuna umuimu gani kumrudisha mwanafunzi nyumbani wiki nzima kwa kosa hilo?
Asante
Najua walimu niwatu wanaopaswa kupewa heshima kwakua wametutoa ujinga mwingi..
Ila kuna mambo ambayo nikiwa nasoma walimu walikua wanafanya nikifikiria kwa sasa naona kama walikua na akili za kitoto au walizingua...
je kuna jambo walimu wako walizingua? Au kuna utoto walimu walikua nao kipindi unasoma?
Kwa mfano kuna tukio moja liliwai kutokea shuleni(sekondari) lilikuwa la kufurahisha sana maana hatukuwai kukutana na tukio kama hili.
Ilikua mida ya asubuhi saa tano tuko busy klass mara ghafla ikagongwa kengele ya dharura.
Kwahyo wote tukakusanyika kila mwanafunzi akiwaza nini tatizo au niukaguzi wa ghafla?
Kila mmoja alikuwa na lake la kuwaza..
Mwalimu wa zamu alifika akiongozana na walimu wenzake na jamaa mmoja( mwanfunzi wa 4m 4) akaambiwa apige magoti..
Tukajua jamaa kashikwa akiwa ametoroka au kapiga tukio baya. Ila cha kisikitisha mwalimu wa zamu akasema mnaye muona mbele yenu amepewa adhabu ya kurudi nyumbani wiki moja na viboko vya kutosha na siku ya kurudi anatakiwa aje na mzazi kwa kosa la kwenda kujisaidia(kwenda haja) kwenye vyoo vya walimu..
Wanafunzi walicheka sana na jamaaa akanyeshewa mvua ya fimbo..
Sasa najiuliza hawa walimu walishindwa kumuadhibu ofisin wenyewe, mpaka wapige na kengele na kutujulisha wote? Pia kulikua kuna umuimu gani kumrudisha mwanafunzi nyumbani wiki nzima kwa kosa hilo?
Asante