- Jul 8, 2023
- 1,320
- 2,995
- 0
Toka huu mwaka uanze nimetamani sana kumiliki uchawi,ila uchawi ninaotaka sio wa kutoa kafara,au kuua mtu.
Uchawi naotaka niwakutibu watu
Sitaki uchawi wa majini.
Nataka uchawi wakunisaidia mimi na jamii inayonizinguka.
Mfano kugundua vitu vipya
Kumuweka limtu liwe linanifanyia biashara zangu.
Naombeni msaada.
Uchawi naotaka niwakutibu watu
Sitaki uchawi wa majini.
Nataka uchawi wakunisaidia mimi na jamii inayonizinguka.
Mfano kugundua vitu vipya
Kumuweka limtu liwe linanifanyia biashara zangu.
Naombeni msaada.