mshamba_mkuu
New member
- Jun 4, 2023
- 1,563
- 4,525
- 0
ukiweka juhudi utaujua ukweliNdo sijui wapi nitapata
ukiweka juhudi utaujua ukweliNdo sijui wapi nitapata
ni kweli kabisa ni ngumu kuupata,Nikiwa naanza kazi katika umri wangu nilisikia sana habari ya uchawi na wachawi .
Nisiwe muongo nilitamani sana kuwa mchawi ila modernized wizard bahati mbaya sehemu zote nilizotembelea na kufanya kazi nilijaribu kuwaulizia watu kuhusu uchawi na vipi naweza kuununua ila wote walinidanganya kila nilikoenda sikufanikiwa nikawa naishia kuambiwa hili mara lile ila ukweli nikaukosa .
Rasmi nikiwa na miaka 49 , nililelewa sana siku moja nikawa nimekaa bustanini kwangu nikawa nawaza mpka sasa mimi nimebakiza nini hapa duniani na vip nimetimiza malengo yangu au bado ?
Bahati mbaya nikajua siidai tena dunia chochote ila lengo la kuwa mchawi limefeli .
Nikiwa katika hizi fikira nikakumbuka niko vijijini ambako haya mambo husemekana basi kila nikiwa bar sikuacha kufanya utafiti wangu mwisho nadondokea kwa mzee mmoja aliyenizidi miaka kama minne hivi .
Mzee aliitwa mzee moja naye ni baada ya kuweka mazoea naye sana baada ya watu wengi kudai ni mchawi siku ya siku nikamuomba tujumuike kwangu chakula cha mchana .
Baada ya urabu kidogo mimi na mzee mwenzangu tukafika kwangu tukala baada ya hapo tukakaa uwanjani nikaagiza tena urabu tukaendelea kunywa ila badae ikabidi nifanye vile wazungu wasemavyo .
"Where there is the wine there is the truth " nikamchana kwa maombi mengi kuwa kaka nasikia wewe ni sasa mwenzio nataka unifundushe bwana nimechoka kudharaulika na wafanyakazi wenzangu na pia nataka heshima kuliko yeyote .
Ndugu wanakijiji ukweli yule mzee mpka leo haniangalii usoni na pia urafiki uliishia pale na pombe zilimuishia pale .
Itoshe kusema utafiti wangu umeshindwa kumalizika kwa kutecommend kuwa uchawi upo au haupo japo kwangu mbali na utafiti naamini upo na bado napambana kuutafuta nataka.
Thanks
Nikiwa naanza kazi katika umri wangu nilisikia sana habari ya uchawi na wachawi .
Nisiwe muongo nilitamani sana kuwa mchawi ila modernized wizard bahati mbaya sehemu zote nilizotembelea na kufanya kazi nilijaribu kuwaulizia watu kuhusu uchawi na vipi naweza kuununua ila wote walinidanganya kila nilikoenda sikufanikiwa nikawa naishia kuambiwa hili mara lile ila ukweli nikaukosa .
Rasmi nikiwa na miaka 49 , nililelewa sana siku moja nikawa nimekaa bustanini kwangu nikawa nawaza mpka sasa mimi nimebakiza nini hapa duniani na vip nimetimiza malengo yangu au bado ?
Bahati mbaya nikajua siidai tena dunia chochote ila lengo la kuwa mchawi limefeli .
Nikiwa katika hizi fikira nikakumbuka niko vijijini ambako haya mambo husemekana basi kila nikiwa bar sikuacha kufanya utafiti wangu mwisho nadondokea kwa mzee mmoja aliyenizidi miaka kama minne hivi .
Mzee aliitwa mzee moja naye ni baada ya kuweka mazoea naye sana baada ya watu wengi kudai ni mchawi siku ya siku nikamuomba tujumuike kwangu chakula cha mchana .
Baada ya urabu kidogo mimi na mzee mwenzangu tukafika kwangu tukala baada ya hapo tukakaa uwanjani nikaagiza tena urabu tukaendelea kunywa ila badae ikabidi nifanye vile wazungu wasemavyo .
"Where there is the wine there is the truth " nikamchana kwa maombi mengi kuwa kaka nasikia wewe ni sasa mwenzio nataka unifundushe bwana nimechoka kudharaulika na wafanyakazi wenzangu na pia nataka heshima kuliko yeyote .
Ndugu wanakijiji ukweli yule mzee mpka leo haniangalii usoni na pia urafiki uliishia pale na pombe zilimuishia pale .
Itoshe kusema utafiti wangu umeshindwa kumalizika kwa kutecommend kuwa uchawi upo au haupo japo kwangu mbali na utafiti naamini upo na bado napambana kuutafuta nataka.
Thanks
Uchawi upo hukudhamiria kuutafutaNikiwa naanza kazi katika umri wangu nilisikia sana habari ya uchawi na wachawi .
Nisiwe muongo nilitamani sana kuwa mchawi ila modernized wizard bahati mbaya sehemu zote nilizotembelea na kufanya kazi nilijaribu kuwaulizia watu kuhusu uchawi na vipi naweza kuununua ila wote walinidanganya kila nilikoenda sikufanikiwa nikawa naishia kuambiwa hili mara lile ila ukweli nikaukosa .
Rasmi nikiwa na miaka 49 , nililelewa sana siku moja nikawa nimekaa bustanini kwangu nikawa nawaza mpka sasa mimi nimebakiza nini hapa duniani na vip nimetimiza malengo yangu au bado ?
Bahati mbaya nikajua siidai tena dunia chochote ila lengo la kuwa mchawi limefeli .
Nikiwa katika hizi fikira nikakumbuka niko vijijini ambako haya mambo husemekana basi kila nikiwa bar sikuacha kufanya utafiti wangu mwisho nadondokea kwa mzee mmoja aliyenizidi miaka kama minne hivi .
Mzee aliitwa mzee moja naye ni baada ya kuweka mazoea naye sana baada ya watu wengi kudai ni mchawi siku ya siku nikamuomba tujumuike kwangu chakula cha mchana .
Baada ya urabu kidogo mimi na mzee mwenzangu tukafika kwangu tukala baada ya hapo tukakaa uwanjani nikaagiza tena urabu tukaendelea kunywa ila badae ikabidi nifanye vile wazungu wasemavyo .
"Where there is the wine there is the truth " nikamchana kwa maombi mengi kuwa kaka nasikia wewe ni sasa mwenzio nataka unifundushe bwana nimechoka kudharaulika na wafanyakazi wenzangu na pia nataka heshima kuliko yeyote .
Ndugu wanakijiji ukweli yule mzee mpka leo haniangalii usoni na pia urafiki uliishia pale na pombe zilimuishia pale .
Itoshe kusema utafiti wangu umeshindwa kumalizika kwa kutecommend kuwa uchawi upo au haupo japo kwangu mbali na utafiti naamini upo na bado napambana kuutafuta nataka.
Thanks
Ukitafuta huupati unaweza usikutakeUchawi huja automatically
Uchawi upo hukudhamiria kuutafuta
Uchawi unanunuliwa Nigeria. Unashindwaje kwenda Nigeria kujimilikisha uchawi?Unao nije nikae darasani ?
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.