You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly. You should upgrade or use an alternative browser.
Search results
Welcome to our community
Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login
Habari zenu wakuu.....
Katkit hapa, baada ya kuugua kwa kipindi kirefu (almost 3 months) namshukuru sana Mungu nimepata nafuu sasa. Ugonjwa usikie kwa jirani aisee, usije ukadharau ugonjwa wowote, hakikisha unawahi hospital unapata tiba mapema kuepuka gharama za ziada.
Mungu ni wetu sote!
Heri ya mwaka mpya 2024 Villagers...
Nipo kitandani tangu juzi mwili umepata hitilafu za kiafya kidogo ndo nipo naupambania hapa, hopefully ntakuwa sawa ASAP!
Straight to the point, hii forum forum yetu bafo inajitafuta lakini binafsi mimi ishanitendea makuu mno 🤣🤣🤣. Sijawahi juta kuwa...
Kukaa kwa ndugu changamoto sana, inafika steji wanatoa kila kitu kwenye chumba walichokukabidhi ukae 🤣🤣🤣🤣. Alhamdulillah saizi nalipa kodi, siku nikipata nanunua wine najipongeza, nikikosa nalala njaa, nipo kwangu no stress 🤸🤸🏾🤸🏾🤸🏾. Mungu wetu sote.
Wagwaan wanakijiji wenzangu,
Imekuwa muda mrefu sana tangu nionekane kwa mara ya mwisho humu, I hope you'all doing great as I am. Niliwamiss sana wanangu Gily Hakimu dronedrake na wengine wote ambao tulipata wasaa wa kujumuika pamoja kijijini and the special & the only one in my heart my...
Al Jumaa Mubarak wakuu...
Mwezi uliopita msanii mkubwa zaidi Tanzania Diamond Platnumz aka Chibu Dangote alijinasibu kwamba ataanza kuporomosha mangoma ya hatari kwa kuzingatia soko la ndani na la nje (local & International) na katika kuhakikisha anafanya alichokiahidi, akatoa ngoma mbili kali...
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale....
Kama title inavyosomeka hapo juu, hebu tueleze kipindi una miaka 10 uliweza kufanya kazi za nyumbni au ndo ulikuwa bado unashikiwa fimbo kwenye kula?
Binafsi katika umri huo nilikuwa tayari nimeshafundishwa kazi zote za nyumbani na Bi. Mkubwa, nilikuwa...
Samaleko...
Binafsi natumia Dolby perfume na Amara deodorant kwa sababu zinanukia vizuri na pia ni very affordable kwa majobless kama mimi.
Wewe unatumia ipi? Share with us!
Katika moja na mbili Jumamosi usiku mwingi sana chimbo flani la walesa mavi, kula vombo kula vombo kula vombo mpaka natambaa, kudadeki wasela mavi wakasepa na kisimu changu cha kutambia mjini pumbavu zao. Nililia kisenge!
Silewi tena.
Salam? Sahau!
Au niwe bodaboda?
Au niende Kariakoo nikawe winga?
Au nikafyatue matofali?
Au nikawe saidia fundi?
Au niende viwandani kwa Wahindi?
Au nitafute lishangazi?
Au nitembeze maji road?
Au au au au au au!
Malamamae, au basi!
Guyz tangu nimelala jana saa 5 usiku, nikuja kustuka leo saa 4asb, halaf mwili umechoka sana kama nimetoka kulima. Hili sikubaliani nalo kbsa, mwenye connection na mtaalam yyte anisaidie tafadhal.
Wasalaam,
Nimekua addicted sana na nyimbo za mahadhi ya Rhumba za huyu mwamba mpaka rafiki zangu wananicheka wanasema napenda miziki ya kizee.
Mayday
Ndaye late dior
Se yo
Maria PM
Mal Accompagne
Canne sucre
Sans Amour
Na nyingine nyingi zimenilevya.