Apocalypse: Siku ya mwisho wa dunia utafanya nini?

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,617
Reaction score
26,429
Points
113
Mwisho wa dunia unaweza kuja kwa namna nyingi. Baadhi ya nadharia chache za mwisho wa dunia ambazo watu wamekuwa wakizungumzia, mfano:

Kiama: Kutokana na taarifa nyingi za vitabu vya dini inaaminika kabisa kuna siku ya kiama na huo ndio utakuwa mwisho wa dunia.

Bomu la nuclear: Kama ilivyotokea Japan ambapo Marekani ilitupa bomu la nuclear na kuua mamilioni ya watu. Kuna uwezekano mkubwa.

Magonjwa Hatarishi: Hapa tumeona jinsi Corona ilivyoua watu. Kuna uwezekano yakaja magonjwa ambayo hayana tiba na yakaleta mwisho wa dunia.

Kimondo kuanguka duniani: Kuna nadharia kuwa hapo zamani kimono kiliangukia dunia na kuharibu mazingira na kuua wanyama wakiokuwepo kabla kama vile dinosaur

Mafuriko: Tumeona hadithi ya Nuhu ikionyesha kuwa aliokoka baada ya kutengeneza Safina. Ila wengi waliangamia kwa mafuriko na kufa mahu

Swali langu haswaaa hii siku ya mwisho wa dunia ikifika utafanya nini?
 
Last edited:
Ni siku nzito sana kwa imani yangu
Dalili zimeainishwa kuelekea kiama sema ndo hujui dalili zenyewe zitachukua muda gani kisha baragumu kupigwa wote wafe kisha litapulizwa baragumu lingine wote tuamke, hapa kwenye kuamka ndo balaa litakapoanza maana namna ulivyoishi duniani ndo itaonesha hesabu yako wewe ni wa kuliani au wa kushoto, mali yako, cheo chako hakitakufaa kitu ila matendo yakoa, ndugu baba, mama na watoto hawatatufaa kitu ila matendo yetu.
Sasa tuje kwenye matendo yetu ndo balaa,
Mungu atujalie mwisho mwema na pindi uhai upo basi atujalie tuwe wenye kufanya aliyoamrisha na kuacha aliyoyakataza
 
Ni siku nzito sana kwa imani yangu
Dalili zimeainishwa kuelekea kiama sema ndo hujui dalili zenyewe zitachukua muda gani kisha baragumu kupigwa wote wafe kisha litapulizwa baragumu lingine wote tuamke, hapa kwenye kuamka ndo balaa litakapoanza maana namna ulivyoishi duniani ndo itaonesha hesabu yako wewe ni wa kuliani au wa kushoto, mali yako, cheo chako hakitakufaa kitu ila matendo yakoa, ndugu baba, mama na watoto hawatatufaa kitu ila matendo yetu.
Sasa tuje kwenye matendo yetu ndo balaa,
Mungu atujalie mwisho mwema na pindi uhai upo basi atujalie tuwe wenye kufanya aliyoamrisha na kuacha aliyoyakataza
Huwa najiuliza swali moja sana. Je ukitubu unasamehewa na utaiona pepo?

Kwa sababu katika imani ya kikristu ili usamehewe unatakiwa ufanye malipizi. Mfano kama umeiba kitu unaomba msamaha kwa Mungu ile ule msamaha hautoshi. Inakupasa urudishe kile kitu ulichoiba. .
 
Huwa najiuliza swali moja sana. Je ukitubu unasamehewa na utaiona pepo?

Kwa sababu katika imani ya kikristu ili usamehewe unatakiwa ufanye malipizi. Mfano kama umeiba kitu unaomba msamaha kwa Mungu ile ule msamaha hautoshi. Inakupasa urudishe kile kitu ulichoiba. .
Na kwa waislam ni hvyo hvyo dhulma lazima aliedhulimiwa haki yake irejeshwe
Sasa kuna ile umeiba huenda ukawa huna uwezo wa kurejesha ila ukaenda kumwambia ulieiba akusamehe sasa kama hatokusamehe hapo Mungu ndio anajua atahukumu vipi lkn wewe umeshaisafisha nafsi yako
Ktk roho kutoko kuna sehem ikifika ndo ntoleee tunasema na ndio maana tunaomba Mungu atupe mwisho mwema
 

Similar threads

Katika maisha ya kimapenzi yapo mengi ya kuvumilia ili kuweza kudumu na huyo uliyetokea kumpenda ila sio usaliti. Ukweli hauwezi pingika mapenzi yanauma sana. Ikitokea umemfumania mpenzi wako kitandani akiwa na mwanaume au mwanamke mwingine utachukua maamuzi gani?
Replies
14
Views
557
Dodoma. Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) limetoa wito kwa wananchi wote wanaomiliki au wanaouza mavazi, viatu, mabegi na vitu vinavyofanana na sare za majeshi nchini kuvisalimisha ndani ya siku saba kuanzia leo. Wito huo umetangazwa leo Alhamisi Agosti 24, 2023 jijini Dodoma na Kaimu...
Replies
3
Views
1K
Wadau maisha ya nyumbani magumu nataka ni hamie kwangu bado sina kazi ila najitafuta nitapata ili mwezi wa 10 niingie evening shift huku natafuta pesa zangu Kwanza sipendi kupangiwa chakula (silagi nyama na sipendelei mboga za majani) Nataka nilale kwangu pumzi itaingia vizuri nipike...
Replies
56
Views
996
  • Question Question
Watu wengine wanafikiri kwamba si lazima kuota kila siku. Wengine wanasema kwamba kuoga kila siku nyingine (au hata vipindi virefu) ni sawa. Nani yuko sahihi na ni nani anayenyonya tu? Tabia ya mtu ya kuoga hutegemea Mazoezi. Ikiwa tunafanya mazoezi kwa nguvu au kucheza michezo kila siku...
Replies
7
Views
417
Wakati unakuja ambao mtu ataweza kujua siku yake ya kufa na sababu ambayo itampelekea kifo. Kadiri sayansi inayokua kwa kutumia taarifa kutoka kwenye mwili wa mwanadamu kama umri wa kuishi na afya ya muhusika utatoa maelekezo kuhusu siku yake ya kufa. Leo hii tumeona wagonjwa wa saratani na...
Replies
19
Views
228

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top