Siku ya kwanza kufumbua getto

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Hakimu

Immortal Village Hero
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,711
Reaction score
6,226
Points
113
mimi naonaga sijui miziki, tv sio muhimu....

mimi tv niliweka mwisho kabisa
Kwangu cha muhimu

Kitanda na godoro zuri ,
Sofa kali ,
Kabati, ila hata tenga fleshi ,
Pasi ,
Tv ukiwa na mgeni acheki binafsi mda wote nipo na pc au simu,
Flash yenye picha ya fatal seduction
 

Hakimu

Immortal Village Hero
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,711
Reaction score
6,226
Points
113
Sio moja, kuanzia tatu labda naweza kumfikiria🤒🤒
Hahaha nilichotaka kureply hapa Mungu ananiona 😅😅😅
Taja vitu nitakavyopata na bonus labda nitaweka hata 5M
 

Hakimu

Immortal Village Hero
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,711
Reaction score
6,226
Points
113
Fanyafanya unitumie picha getho likiwa tayari nione kama ntaendana nalo☺️☺️
Hahahha hata likiwa na mkeka si unakuja tu
 

Similar threads

Katika maisha ya kimapenzi yapo mengi ya kuvumilia ili kuweza kudumu na huyo uliyetokea kumpenda ila sio usaliti. Ukweli hauwezi pingika mapenzi yanauma sana. Ikitokea umemfumania mpenzi wako kitandani akiwa na mwanaume au mwanamke mwingine utachukua maamuzi gani?
Replies
14
Views
557
Dodoma. Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) limetoa wito kwa wananchi wote wanaomiliki au wanaouza mavazi, viatu, mabegi na vitu vinavyofanana na sare za majeshi nchini kuvisalimisha ndani ya siku saba kuanzia leo. Wito huo umetangazwa leo Alhamisi Agosti 24, 2023 jijini Dodoma na Kaimu...
Replies
3
Views
1K
  • Question Question
Watu wengine wanafikiri kwamba si lazima kuota kila siku. Wengine wanasema kwamba kuoga kila siku nyingine (au hata vipindi virefu) ni sawa. Nani yuko sahihi na ni nani anayenyonya tu? Tabia ya mtu ya kuoga hutegemea Mazoezi. Ikiwa tunafanya mazoezi kwa nguvu au kucheza michezo kila siku...
Replies
7
Views
417
Wakati unakuja ambao mtu ataweza kujua siku yake ya kufa na sababu ambayo itampelekea kifo. Kadiri sayansi inayokua kwa kutumia taarifa kutoka kwenye mwili wa mwanadamu kama umri wa kuishi na afya ya muhusika utatoa maelekezo kuhusu siku yake ya kufa. Leo hii tumeona wagonjwa wa saratani na...
Replies
19
Views
228
Mwisho wa dunia unaweza kuja kwa namna nyingi. Baadhi ya nadharia chache za mwisho wa dunia ambazo watu wamekuwa wakizungumzia, mfano: Kiama: Kutokana na taarifa nyingi za vitabu vya dini inaaminika kabisa kuna siku ya kiama na huo ndio utakuwa mwisho wa dunia. Bomu la nuclear: Kama...
Replies
22
Views
348

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom