Hekima/maarifa ni vitu vya thamani saana..

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Kondeni0112

KF President
Platinum Villager
Joined
Jul 3, 2023
Messages
1,897
Reaction score
3,986
Points
113
Katika maisha tunasurvive kulingana na wingi wa hekima tuliyo nayo;
Kwakua hekima ni mali ya thamani zaidi ambayo unapaswa kupata kila siku.

Mithali 16:16
Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.

Juma pili njema
 

Similar threads

Nakusalimu mwanaKF, ninafurahi kwakua umeamua kusoma bandiko hili... karibu sana, najua utapata kitu... Luka 17:11-14 Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya. Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye...
Replies
3
Views
257
Habari, Leo kwa mbali mtaa ninaoishi nilisikia speaker wakisema kutakua na mnada ila sikutilia maanani, Baada ya masaa mawili nadhani ndio mnada wenyewe ukawa unafanyika kuuza vitu vya huyo mtu baada ya kushindwa kulipa deni la bank, Nimekaa nimetafakari sana nikabaki na maswali , hivi ukiwa...
Replies
43
Views
476
Habari zenu wangu.. Moja kwa moja natiririka kwenye uzi kama hivi,dunia yetu imepita nyakati mbalimbali za kukua,zamani kuna vitu mtu kuwanavyo ilikuwa deal sana,tena bei na uthamani ulikuwa wa hali ya juu,vitu hivyo walimiliki matajiri na watu wenye pesa zao, Sasa napenda kuwaletea vitu...
Replies
6
Views
291
Habari.. Kipindi cha utoto tumepitia mambo mengi tena yalioshangaza sana,tulitishwa na waliotuzidi umri pia tulitishwa na wazazi mpaka na walimu. Jambo la kawaida kipindi kile cha utoto kwetu lilionekana la kutisha sana. Hapa nimeweka mambo yote waliokuwa wanatutisha nayo kama kuna...
Replies
13
Views
216

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom