Mnada wa vitu baada ya kushindwa kulipa deni

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Little

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jun 28, 2023
Messages
303
Reaction score
876
Points
93
Kuna mzee mmoja alishawishia wa mtoto wa dada yake (yeye ni mjomba) kuwa waweke nyumba bondi wakati wa mkopo Wakaenda kuchukua mkopo bank million 50. Kijana nae akaweka nyumba yake kimara bondi. Zikawa nyumba mbili

Walipochukua wakaenda nunua lori moja la walioshindwa kulipa kodi. Walinunua lori vizuri hawakufikiria kuwa wanaponunua watatozwa kodi😀 walilipia vizuri kisa kinaanza TRA wanataka kodi kitu ambacho kimepigwa mnada. Mbali na hivyo bado lori linahitaji kutengenewa bodi aisee walihaha sana wakashindw kukomboa

Mzee alijaribu kuuza nyumba million 30 wapi kaanzia million 70. Nyumba ikapigwa mnada mbele yake huku anaona how sad it was

Hakuna maisha short cut - always remember this
Aisee
 

Little

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jun 28, 2023
Messages
303
Reaction score
876
Points
93
Inataka moyo mno ila upande wangu siwezi, yan moyo wangu ni very weak emotions zangu ndio hoi kabisa, hyo kazi kila baada ya kutia sign ingenilazimu sijui nimeze dawa nilale kwa lazm la svyo ingenivuruga
Nishazoea
 

Leejay

Miss KF
Platinum Villager
Joined
Jun 4, 2023
Messages
1,219
Reaction score
3,280
Points
113
Inataka moyo mno ila upande wangu siwezi, yan moyo wangu ni very weak emotions zangu ndio hoi kabisa, hyo kazi kila baada ya kutia sign ingenilazimu sijui nimeze dawa nilale kwa lazm la svyo ingenivuruga
Roho inauma sema ndo hivyo, utafanyaje tena🤷‍♀️🤷‍♀️
 

Similar threads

Nakusalimu mwanaKF, ninafurahi kwakua umeamua kusoma bandiko hili... karibu sana, najua utapata kitu... Luka 17:11-14 Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya. Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye...
Replies
3
Views
257
Katika maisha tunasurvive kulingana na wingi wa hekima tuliyo nayo; Kwakua hekima ni mali ya thamani zaidi ambayo unapaswa kupata kila siku. Mithali 16:16 Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha. Juma pili njema
Replies
2
Views
231
Habari zenu wangu.. Moja kwa moja natiririka kwenye uzi kama hivi,dunia yetu imepita nyakati mbalimbali za kukua,zamani kuna vitu mtu kuwanavyo ilikuwa deal sana,tena bei na uthamani ulikuwa wa hali ya juu,vitu hivyo walimiliki matajiri na watu wenye pesa zao, Sasa napenda kuwaletea vitu...
Replies
6
Views
291
Habari.. Kipindi cha utoto tumepitia mambo mengi tena yalioshangaza sana,tulitishwa na waliotuzidi umri pia tulitishwa na wazazi mpaka na walimu. Jambo la kawaida kipindi kile cha utoto kwetu lilionekana la kutisha sana. Hapa nimeweka mambo yote waliokuwa wanatutisha nayo kama kuna...
Replies
13
Views
216
Daraja hilo laanguka baada ya kugongwa na meli, na inadaiwa gari kadhaa zilizokuwepo kwenye daraja hilo zimeanguka na daraja hilo hapo Nchini Marekani. Daraja la Baltimore ni moja ya miundo maarufu ya kivuko katika jiji la Baltimore, katika jimbo la Maryland, Marekani. Lilijengwa mwaka 1957...
Replies
1
Views
356

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom