- Jun 28, 2023
- 303
- 876
- 93
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Hivi sisi watanzania huduma kwa wateja tunachukuliaje? Hii elimu tunapaswa tukapewe wapi? Ukienda hospitali za binafsi na serikali huduma mbovu, ukienda ofisi za serikali kule ndio lazima ujute kabisa,
Ukija kwa ndugu zetu huku mtaani ndio utajuta kabisa
Kuna siku hizi za sikuku nilienda majohe huko ndani ndani, wakati wa kurudi kule ukiita uba au bolt hupati sijui kwa sababu inakua nikama nje ya mji au laa, sasa imefika sasa moja usiku na usafiri ukawa wa tabu zaid na mvua ikaja bajaji itusogeze mpka gongo la mboto ndo niite pale uber, sasa kwenyr ile bajaj ndio kizaa zaa , ni kijana mdogo kaeka yale manyimbo yao speaker kelele kama zote, anakimbiza sana sasa ukichanganya na ile ni rough road na nilikua na watoto nikamwomba apunguze speed manake huyu mtoto ndo nilie mbeba ilibaki kdgo ajigonge kweny zile chuma.
Yule dereva akasema siezi kupunguza mwendo manake nataka nile vichwa leo. Tukazozona na mwishowe akanielewa.
Sasa nimebaki na swali moja hivi watanzania tunajua huduma kwa mteja inamaanisha nini?
Wapi watu wakapate hii elimu
Hivi sisi watanzania huduma kwa wateja tunachukuliaje? Hii elimu tunapaswa tukapewe wapi? Ukienda hospitali za binafsi na serikali huduma mbovu, ukienda ofisi za serikali kule ndio lazima ujute kabisa,
Ukija kwa ndugu zetu huku mtaani ndio utajuta kabisa
Kuna siku hizi za sikuku nilienda majohe huko ndani ndani, wakati wa kurudi kule ukiita uba au bolt hupati sijui kwa sababu inakua nikama nje ya mji au laa, sasa imefika sasa moja usiku na usafiri ukawa wa tabu zaid na mvua ikaja bajaji itusogeze mpka gongo la mboto ndo niite pale uber, sasa kwenyr ile bajaj ndio kizaa zaa , ni kijana mdogo kaeka yale manyimbo yao speaker kelele kama zote, anakimbiza sana sasa ukichanganya na ile ni rough road na nilikua na watoto nikamwomba apunguze speed manake huyu mtoto ndo nilie mbeba ilibaki kdgo ajigonge kweny zile chuma.
Yule dereva akasema siezi kupunguza mwendo manake nataka nile vichwa leo. Tukazozona na mwishowe akanielewa.
Sasa nimebaki na swali moja hivi watanzania tunajua huduma kwa mteja inamaanisha nini?
Wapi watu wakapate hii elimu