- Jun 4, 2023
- 1,219
- 3,280
- 113
aiseesugua kama vile ukiwa unasugua sufuria na kosheo1
aiseesugua kama vile ukiwa unasugua sufuria na kosheo1
kwa nini pundamiliaPunda milia
Ni mnyama ninae mpenda sana mpolekwa nini pundamilia
Aliwe na simbakwa nini pundamilia
Aisee mm ningechagua kati ya farasi na punda,maana naona kama wanaenjoy sana kwenye kungonoka,ile pipe unazamisha hadi kwenye maini kudadeki,Niaje?
Niende moja kwa moja kwenye swali, unajiona ina sifa za mnyama gani? Binafsi napenda sana kula nyama kama ningekuwa mnyama basi ningekuwa mnyama anayekula nyama kama Simba
Pia mtag mshikaji wako umweleze unaona yeye anafanana na mnyama gan?
haha karibu sana, pia usisite kutupa mawazo jinsi ya kuboreshaAisee mm ningechagua kati ya farasi na punda,maana naona kama wanaenjoy sana kwenye kungonoka,ile pipe unazamisha hadi kwenye maini kudadeki,
By the way.... thanks for the invitation Mangi,huku kumenoga blaa
mbona kama huyu anafanana na yule wa MadagascarNingekuwaView attachment 337
Hawa wanaitwa big foot. Wanasadikika kuwa wana akili na kuzingumza na ni supernatural beings.
Aisee sikuwa nafahamu kabisa mkuu,Hawa wanaitwa big foot. Wanasadikika kuwa wana akili na kuzingumza na ni supernatural beings.
Sijui kama una idea na story yake
Hawa wanaitwa Bigfoot or Yeti. Huwa nawaona sana story zake kwenye ancient Allen's. Ukaona alivyo mkubwa ukaona atakuwa na dushe kubwa basi ujiite hivyo kwa sababu kuna mtu kamuwahi donkey hapo juuAisee sikuwa nafahamu kabisa mkuu,
Kumbe kazi kweli kweli
Weka storyHawa wanaitwa big foot. Wanasadikika kuwa wana akili na kuzingumza na ni supernatural beings.
Sijui kama una idea na story yake
Hahah kwetu mwaliwa supu huku na tupilipili kwa mbaliiaisee endapo ningekua Mamba ingependeza sana
ni story ndefu nitakuja wekaWeka story
Na mm je?,.. unaeza kuta nafanana na TigerMimi ningekuwa dragon
@dronedrake wewe unafanana na Meeeeee
@Leejay wewe unafanana na kangaroo
@Gily wewe unafanana na sokwemtu
@AlmightyGod wewe unafanana na mende
....
Wewe unafanana na blackmambaNa mm je?,.. unaeza kuta nafanana na Tiger
wewe ni ke??Mfano hai
Nakufananisha na fisi unakul mizoga hatariNa mm je?,.. unaeza kuta nafanana na Tiger
namimi nakuja soonnyege mbaya mdogo wangu huyu @mmash ni dume
njoo kule kwenye jukwaa la kutafuta wachumba mapema kabla hujafa na sonona
Humu watu wanajifajya wote wana mademunamimi nakuja soon
Watu wa humu ni waroho kunyama,,..wewe ni ke??
Duh.....jinga sana ww hakiWewe unafanana na blackmamba
Mwambie antake radhi kabla cjalala kesho,ili awe na bahati ya kupata demu kule jukwaa la wachumba,vinginevyo ndo nakua nishamjambia ushuz wa nuksi,kila atakapo gusa ni gundu linamuandamanyege mbaya mdogo wangu huyu @mmash ni dume
njoo kule kwenye jukwaa la kutafuta wachumba mapema kabla hujafa na sonona
Na ww nae unatakiwa untake radhi mapema vinginevyo ....yeleuwiiiiii.. .Nakufananisha na fisi unakul mizoga hatari
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.