- Joined
- Jun 26, 2023
- Messages
- 636
- Reaction score
- 1,321
- Points
- 0
Hapa unaandika neno unalolipenda kutoka katika biblia
ukweli mchungu aisee24 Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.
Mathayo 6:24
Hahahaha itakuwa japo uchungaji hauzuii mtu kuchukua pisi@Kondeni0112 Hivi wewe ni mchungaji
Unapita na kondoo za bwanaHahahaha itakuwa japo uchungaji hauzuii mtu kuchukua pisi
kama ilivyo adaUnapita na kondoo za bwana
Hapana mkuu, ila nmeokoka tangu 2021, ningebahatika kuwa mchungaji, ningeinjoy sana..@Kondeni0112 Hivi wewe ni mchungaji
wee jamaaHahahaha itakuwa japo uchungaji hauzuii mtu kuchukua pisi
lazima unione kwenye nyuzi heavy kama hiziNakuona
Usinge pita na dada zetu kwenye maombi kweli?Hapana mkuu, ila nmeokoka tangu 2021, ningebahatika kuwa mchungaji, ningeinjoy sana..
Naaam mi niliokoka ila watu jamii ya kina @Leejay walisababisha niachewee jamaa
karibu sanalazima unione kwenye nyuzi heavy kama hizi
jamii ya
Nimemaanisha wadada@Leejay anahusikaje sasa hapo?????
uwe unanyoosha maelezo.Nimemaanisha wadada
@mshamba_mkuu2 Petro 3
3 Kwanza kabisa ni lazima muelewe hili: kwamba siku za mwisho watu wenye dhihaka watakuja kuwadhihaki wakiwa wametawaliwa na tamaa zao wenyewe. 4 Watawaambia, “Aliyeahidi atakuja yuko wapi? Tangu baba zetu walipokufa mambo yameendelea kuwa kama yalivyokuwa tangu kuumbwa kwa dunia.” 5 Wao wameamua kusahau kwamba ni kwa neno la Mungu mbingu zilikuwepo tangu zamani, na kwamba ulimwengu uliumbwa kutokana na maji kwa njia ya maji, 6 na kuwa kwa maji hayo hayo ulimwengu ule uliokuwepo uliangamizwa wakati ule wa gharika. 7 Lakini kwa neno hilo hilo mbingu na dunia, ambazo zipo hivi sasa, zimewekwa akiba kuchomwa moto, zimewekwa mpaka siku ile ya hukumu na ya kuangami zwa kwa watu wasiomcha Mungu.
nimeamua kutokuishi kwa hofu.
@Leejay anahusikaje sasa hapo?????
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.