akikuuma Tandu unaweza lia kama mmtotonamuogopa Tandu aisee
ile miguu yake mingi, akitembea anajikunja kunja, alaf anatembea haraka sana
Aaaaaaaaaaaaa ThubutuuuuuuuuSina urafiki na nyoka kabisa
Ila unaniangusha sana unamuogopa ng'ombe unatakiwa untie vidole kwenye pua zake shika kwa nguvu atakufata popote unapoenda.
Miyeyusho sana waleukiachana na nyoka kuna mbwa jamani aagh
Nasikia akikudonoa lzm ugalegalenamuogopa Tandu aisee
ile miguu yake mingi, akitembea anajikunja kunja, alaf anatembea haraka sana
hahahaha bora nisimuone , bora aume apoteeakikuuma Tandu unaweza lia kama mmtoto
daah sijajua kwa kweli, bado sijaingia anga zake, napishana naye tuNasikia akikudonoa lzm ugalegale
ukiinama tu bandani zizini unakula kichwa cha maanaDah! binafsi mi naogopa mbuzi/beberu la Israel na kondoo/dume hao jamaa sina urafiki nao kabisa..Kipindi mdogo nilijaribu kugonganisha vichwa nao wote kwa siku tofauti ila kondoo hatari nilihisi nimetoboka kichwa na nimekufa
Hatari sana hao jamaa na wabishi kinomaukiinama tu bandani zizini unakula kichwa cha maana
mbwa wanakera sana,,, yani mimi nikishajua nyumba flani wanafuga mbwa hua sipiti maeneo hayo kabisaMiyeyusho sana wale
Dah! Nimeukosa ugeni wako...Aiseeehmbwa wanakera sana,,, yani mimi nikishajua nyumba flani wanafuga mbwa hua sipiti maeneo hayo kabisa
umeukosa aje mkuuDah! Nimeukosa ugeni wako...Aiseeeh
Mi nafuga mbwa ndio maanaumeukosa aje mkuu
aisee huo mtaa hutaniona kukanyagaMi nafuga mbwa ndio maana
Hata mimi sijiDah! Nimeukosa ugeni wako...Aiseeeh
Huyo naua huku namtafuna supuNamuogopa mende kwa kweli,
mbona upo kama mende?Namuogopa mende kwa kweli,
Kivipi mkuu,mbona upo kama mende?
Aiseee noma sanaHuyo naua huku namtafuna supu
Watamu kwenu hamli, wataalamu wamesema ni chanzo bora cha proteinAiseee noma sana
Ohh kweli kuna sehemu niliwahi kuona hilo, mkuuWatamu kwenu hamli, wataalamu wamesema ni chanzo bora cha protein
Mbn wote supuAhahah naogopa paka yaani nyau na nyoka uhuuuu na kenge
Yaan naweza kulia kama mtoto hasa pakaMbn wote supu
Yaan naweza kulia kama mtoto hasa paka
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.