- Joined
- Jul 3, 2023
- Messages
- 1,883
- Reaction score
- 3,969
- Points
- 113
Wapendwa nawasalimu.
Nakupongeza kwa kuamua kufungua na kusoma uzi huu,
Karibuuu...
Ni mambo mengi mabaya na magumu na yakukatisha tamaa yametupata, hatungekuwa hapa leo kama sio kwa msaada wa Mungu.
Uwezo huo wa kuweza kumudu hali ngumu na mbaya katika maisha na kuweza kusimama, baada ya yote uliyopitia ni neema ya Mungu tu wala si kitu kingine.
Mambo ambayo yaliwafanya watu wengine wapoteze akili, wajiue, wapate presha, kwako imekua tofauti bado umesimama,
Tunapaswa kumshukuru Mungu kwa hilo na kushukuru kwa sababu ukiangalia maisha yako utagundua kuwa Mungu amekuwa akikupendelea kila siku.
Kwa kiwango hicho ulipo, Mungu amekubariki. Anza kumshukuru na kumshukuru.
Nakupongeza kwa kuamua kufungua na kusoma uzi huu,
Karibuuu...
Ni mambo mengi mabaya na magumu na yakukatisha tamaa yametupata, hatungekuwa hapa leo kama sio kwa msaada wa Mungu.
Uwezo huo wa kuweza kumudu hali ngumu na mbaya katika maisha na kuweza kusimama, baada ya yote uliyopitia ni neema ya Mungu tu wala si kitu kingine.
Mambo ambayo yaliwafanya watu wengine wapoteze akili, wajiue, wapate presha, kwako imekua tofauti bado umesimama,
Tunapaswa kumshukuru Mungu kwa hilo na kushukuru kwa sababu ukiangalia maisha yako utagundua kuwa Mungu amekuwa akikupendelea kila siku.
Kwa kiwango hicho ulipo, Mungu amekubariki. Anza kumshukuru na kumshukuru.