Tujikumbushe vitu vya zamani vilivyokuwa deal kumiliki..

The great manenge

New member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
1,320
Reaction score
2,995
Points
0
Habari zenu wangu..

Moja kwa moja natiririka kwenye uzi kama hivi,dunia yetu imepita nyakati mbalimbali za kukua,zamani kuna vitu mtu kuwanavyo ilikuwa deal sana,tena bei na uthamani ulikuwa wa hali ya juu,vitu hivyo walimiliki matajiri na watu wenye pesa zao,
Sasa napenda kuwaletea vitu ambavyo vilikuwa muhinu sana nyakati zile.

1.REDIO ZA CASETTE(PANASONIC)

vintage-national-panasonic-rx-5030f-radio-cassette-player-383932690-410t5.jpg19478173-vintage-radio-cassette-recorder-isolated-on-white.jpg46478031-dusty-old-radio-with-one-cassette-player.jpg

Hizi redio zilikuwa kiboko sana,nakumbuka zilikuwa na amplifier,mziki wake ulikuwa mkubwa tena wa maana,nakumbuka mzee wangu alinunua moja toka akiwa bachelor sisi tulipozakiwa tukaikuta,kipindi kile zilitoka kwaya ya hakuna mungu kama wewe aisee mziki ulikuwa mnzuri sana.
Majirani walikuwa wanakodisha kwa ajili ya shughuli zao kama ubarikio,hata harusi nakumbuka mjomba wangu ubarikio wake redio iliyotumika ilikuwa casette.

2.BAISKEL ZA PHONEXIC

HTB1TYk3xTlYBeNjSszcq6zwhFXaY.jpg300px-Phoneix_SPB15.jpg
a7a2efc9321a10c932748843c166c9a6.jpg

Baiskeli za phoenix zilikuwa ndo usafiri wa maana,hizi zilitoka china nakumbuka 1998 mjomba ndo mtu pekee aliyekuwa anamiliki machame kijijini tu,watu walimpa respec kwa sababu anamiliki phoenix,ilikuwa ni ghali kuwa nayo.

3.VIATU VYA OLD STAR.
dd8dd434e858b07b22bc1b6cb25a311dd6863361-1100x713.jpgimage-desktop-data.jpg

Hivi viatu ni one of vaforites shoes in my life navikubali sana,mama alinunuliaga moja miaka ya 2001nakumbuka ndo mara ya kwanza kuvaa kipindi tunaishi soweto kotasi kipindi hicho group la hiphop la nako 2 nako ndo lilikuwa linatamba basi nikawa navivaa jamaa walitaka niwauzie nikagoma,wakaniibia viatu vyangu nililia sana.

Je kitu gani kilikuwa cha maana sana enzi hizo kwenu??
 

Similar threads

Nakusalimu mwanaKF, ninafurahi kwakua umeamua kusoma bandiko hili... karibu sana, najua utapata kitu... Luka 17:11-14 Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya. Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye...
Replies
3
Views
257
Habari, Leo kwa mbali mtaa ninaoishi nilisikia speaker wakisema kutakua na mnada ila sikutilia maanani, Baada ya masaa mawili nadhani ndio mnada wenyewe ukawa unafanyika kuuza vitu vya huyo mtu baada ya kushindwa kulipa deni la bank, Nimekaa nimetafakari sana nikabaki na maswali , hivi ukiwa...
Replies
43
Views
475
Katika maisha tunasurvive kulingana na wingi wa hekima tuliyo nayo; Kwakua hekima ni mali ya thamani zaidi ambayo unapaswa kupata kila siku. Mithali 16:16 Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha. Juma pili njema
Replies
2
Views
230
Habari.. Kipindi cha utoto tumepitia mambo mengi tena yalioshangaza sana,tulitishwa na waliotuzidi umri pia tulitishwa na wazazi mpaka na walimu. Jambo la kawaida kipindi kile cha utoto kwetu lilionekana la kutisha sana. Hapa nimeweka mambo yote waliokuwa wanatutisha nayo kama kuna...
Replies
13
Views
215
How are you my fellow villagers.. Nmeona niwaletee mkasa mfupi wa kijana mmoja wa hapa mtaani kwetu yeye anaitwa FOGO... Fogo ndio jina alilopewa na wazazi wake, ukimcheki utazani watu wanamkejeli kutokana na kwamba jina na muonekano wa jamaa(ni usiku na mchana) yaani haviendani.. Uyu mwamba...
Replies
10
Views
213
Back
Top