- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 24
- Reaction score
- 67
- Points
- 0
1. Usioe kwasababu huyo mwenzi wako mmekutana katika biashara zinazofanana.. kwahiyo ukahisi kwamba kwakuwa biashara anayoifanya na wewe unaifanya basi mtakuwa na Ndoa nzuri! Kwasababu Ndoa ni zaidi ya biashara
2. Usioe au kuolewa kwasababu huyo mpenzi wako mnasoma KOZI sawa kwahiyo ukahisi mtakuwa na Ndoa njema! Kwasababu Ndoa ni zaidi ya kozi na elimu
3. Usioe au kuolewa kwasababu huyo mwenzi wako anashabikia timu unayoshabikia!
Na ukahisi hata kwnye ndoa itakuwa njema.. kwasababu Ndoa ni zaidi ya mpira na michezo
4. Usioe au kuolewa kwasababu huyo mwenzi wako mnasali KANISA /MSIKITI mmoja kwahiyo ukahisi mambo yatakuwa fresh... Kwasababu Ndoa ni zaidi ya kusali
5. Usioe au kuolewa kwasababu ya SHEPU ya mwenzi wako kwasababu huwezi jua kitakachotokea huko mbele kwenye ndoa!..
6. Usioe au kuolewa kwasababu Wazazi wa mwenzi wako na wako ni marafiki!
Unaoa wewe sio wao
Kwahiyo NDOA INABAKI KUWA NDOA...
"IHESHIMIWE NA WATU WOTE!" Ipewe heshima yake.. sio kukurupuka
Kwasababu hiyo INGIA KWENYE NDOA KWASABABU:-
1. Unampenda na yeye anakupenda kwa dhati... UPENDO ndio KIINI...
2. Oa au OLEWA kwasababu umefikia wakati SAHIHI wa kufanya hivyo..
2. Usioe au kuolewa kwasababu huyo mpenzi wako mnasoma KOZI sawa kwahiyo ukahisi mtakuwa na Ndoa njema! Kwasababu Ndoa ni zaidi ya kozi na elimu
3. Usioe au kuolewa kwasababu huyo mwenzi wako anashabikia timu unayoshabikia!
Na ukahisi hata kwnye ndoa itakuwa njema.. kwasababu Ndoa ni zaidi ya mpira na michezo
4. Usioe au kuolewa kwasababu huyo mwenzi wako mnasali KANISA /MSIKITI mmoja kwahiyo ukahisi mambo yatakuwa fresh... Kwasababu Ndoa ni zaidi ya kusali
5. Usioe au kuolewa kwasababu ya SHEPU ya mwenzi wako kwasababu huwezi jua kitakachotokea huko mbele kwenye ndoa!..
6. Usioe au kuolewa kwasababu Wazazi wa mwenzi wako na wako ni marafiki!
Unaoa wewe sio wao
Kwahiyo NDOA INABAKI KUWA NDOA...
"IHESHIMIWE NA WATU WOTE!" Ipewe heshima yake.. sio kukurupuka
Kwasababu hiyo INGIA KWENYE NDOA KWASABABU:-
1. Unampenda na yeye anakupenda kwa dhati... UPENDO ndio KIINI...
2. Oa au OLEWA kwasababu umefikia wakati SAHIHI wa kufanya hivyo..