- Jul 8, 2023
- 1,320
- 2,995
- 0
Habari..
Kipindi cha utoto tumepitia mambo mengi tena yalioshangaza sana,tulitishwa na waliotuzidi umri pia tulitishwa na wazazi mpaka na walimu.
Jambo la kawaida kipindi kile cha utoto kwetu lilionekana la kutisha sana.
Hapa nimeweka mambo yote waliokuwa wanatutisha nayo kama kuna nililosahau u aweza kuirodhesha hapa..
**kumeza bigiji kwamba itajisokota kwenye utumbo.
**kunyooshea kidole kaburi kwamba mtu atakufa kwenu.
**kukojoa makaburini kwamba utakufa
**kumeza mbegu ya chungwa au mapela kwamba yataota kichwani
**kupiga miruzi usiku kwamba unaita majini
**kutembea makuburini kwamba utaona maiti ikifufuka.
**kuiba sadaka kanisa kwamba mkono utakatika
Hayo ni baadhi u aruhusiwa kuandika mengine ya zamani hapa
Kipindi cha utoto tumepitia mambo mengi tena yalioshangaza sana,tulitishwa na waliotuzidi umri pia tulitishwa na wazazi mpaka na walimu.
Jambo la kawaida kipindi kile cha utoto kwetu lilionekana la kutisha sana.
Hapa nimeweka mambo yote waliokuwa wanatutisha nayo kama kuna nililosahau u aweza kuirodhesha hapa..
**kumeza bigiji kwamba itajisokota kwenye utumbo.
**kunyooshea kidole kaburi kwamba mtu atakufa kwenu.
**kukojoa makaburini kwamba utakufa
**kumeza mbegu ya chungwa au mapela kwamba yataota kichwani
**kupiga miruzi usiku kwamba unaita majini
**kutembea makuburini kwamba utaona maiti ikifufuka.
**kuiba sadaka kanisa kwamba mkono utakatika
Hayo ni baadhi u aruhusiwa kuandika mengine ya zamani hapa