Kijiji Off-topics

This is a forum of general posts that don't fit in any forums. Any serious subject not covered by the other forums and not prohibited.
Please let's know any advice or suggestions on subject.
Replies
2
Views
369
We started Kijiji with a purpose to build stronger and more homelike environment. All who care about making Kijiji more thriving, vibrant, and interesting are welcome. We hope to gather people of many ages and perspectives, including those connected to business, governments, community groups...
Replies
27
Views
862
Habari za muda huu all villagers. Kutokana ukuaji wa matumizi ya simu za mkononi na uwanda wake mpana wa matumizi mbalimbali applications mbalimbali zimetengenezwa kurahisisha mambo .Mimi hata nipoteze au ninunue simu mpya hizi ndizo orodha ya apps zangu ambazo haziwezi kukosa. 1.Whatsap ...
Replies
8
Views
614
Wadau maisha ya nyumbani magumu nataka ni hamie kwangu bado sina kazi ila najitafuta nitapata ili mwezi wa 10 niingie evening shift huku natafuta pesa zangu Kwanza sipendi kupangiwa chakula (silagi nyama na sipendelei mboga za majani) Nataka nilale kwangu pumzi itaingia vizuri nipike...
Replies
56
Views
995
Habari 👋👋👋 Kama ilivyo ada Mimi shujaaa wenu nimekuja na jambo, naomba tujadili wote sisi Wana KF Je unaweza jifunza tabia mpya mfano Kuwa mkimya, kuachana na kuwaza/kutamani mapenzi, kunywa bia, kuacha ulevi, kupendeza hata kuwa MTU wa comedy Ikiwa sio hurka yako je? Utaweza jifunza na...
Replies
19
Views
845
Wakuu msiseme sikuwaambia masnichi wapo wengi kwenye maisha hata humu KF wapo, Wanatuchora tu tushindwe ili wacheke Nasemaje nasemajeeeeeeeee Mpaka kieleweke
Replies
7
Views
181
Habari leo tumekuja na muonekano bomba zaidi na upo morden zaidi toa maoni yako pia old look inapatikana bonyeza choose style at the bottom na uchague
Replies
21
Views
494
Hellow! Leo tuzungumze kitu gani kinakuweka very happy kufanya Binafsi i love coding hasa backend na Databases hua najisikia raha sometimes mpaka nasahau kuwa natakiwa kusoma masomo ya darasani, hasa ninapo learn new language or concepts (hua nafuatilia pia how others do) ili kujifunza easy...
Replies
19
Views
595
Starting a business is a daring endeavor that demands unwavering determination, creative problem-solving, and a continuous quest for knowledge. While the startup world may seem worlds apart from the field of science, this is definitely not the case. In the early startup stages, you as a startup...
Replies
15
Views
261
Umwa sana Hitaji pesa Anzisha biashara/shughuli yenye kuwahitaji sana Oya wakuu hii ni quote tu marafiki wapo na wanafiki wapo watakupenda kwa namna flani ila baada ya muda hawako na wewe Tupambane together tuijenge KF as members
Replies
11
Views
311
wadauni hatari tuendelee kupambana tu tutafika siku sio nyigi ishalllah
Replies
7
Views
280
Habari, Leo kwa mbali mtaa ninaoishi nilisikia speaker wakisema kutakua na mnada ila sikutilia maanani, Baada ya masaa mawili nadhani ndio mnada wenyewe ukawa unafanyika kuuza vitu vya huyo mtu baada ya kushindwa kulipa deni la bank, Nimekaa nimetafakari sana nikabaki na maswali , hivi ukiwa...
Replies
43
Views
475
MIMI ni nani? ili swali Yesu alilijibu vizuri, 👇👇 Mimi ni Mkate wa Uzima, Mimi ni Neno la Uzima; Mimi ndimi Roho wa Kweli; Mimi ni Uzima; Mimi ni Mchungaji Mwema, Mimi ni nuru ya ulimwengu, Mimi ndio njia kweli na uzima.. Je mwenzangu wewe ni nani? kumbuka wewe sio jina lako, muenekano, wala...
Replies
18
Views
517
Rank Country Traffic index Time index (in minutes) 1. Nigeria 310.6 62.8 2. Kenya 242.1 51.6 3. Egypt 231.8 48.5 4. South Africa 189.3 39.0 5. Morocco 137.1 37.0
Replies
2
Views
124
WanaKijijj Msione kimya nipo bize kidogo, ila kwa mwendo wa raisi wetu wa sasa The great manenge najua nikitulia na kusettle humu nitakuwa mgeni maana vitu vutakuwa vishabadilika, nisi kuchoshe tusichoshane have a good day
Replies
14
Views
283
Iwapo utabiri wa muda mrefu wa wanasayansi kwamba Afrika itagawanyika mara mbili utafikiwa, Tanzania, nchi yenye ukubwa wa kilomita za mraba 947, 300, inaweza kugawanywa na kuunganishwa na mataifa mengine kuanzisha bara jipya. Tanzania inaweza kugawanywa katika sehemu mbili, kila nusu ikiwa ya...
Replies
5
Views
240
Niende moja kwa moja kwenye mada, Hivi sisi watanzania huduma kwa wateja tunachukuliaje? Hii elimu tunapaswa tukapewe wapi? Ukienda hospitali za binafsi na serikali huduma mbovu, ukienda ofisi za serikali kule ndio lazima ujute kabisa, Ukija kwa ndugu zetu huku mtaani ndio utajuta kabisa Kuna...
Replies
28
Views
402
Wakuu napenda sana magari, na nazani nikipata kibunda ntaanza na gari nyumba baadae, Mwanzo nlikua napenda sana Forester Subaru kwasababu masela wengi nlio kua nao wanayo kwahyo nisha yapanda sanaa, na kuendesha kidogo... Ila kwa sasa gari iliyoko kichwani kwangu ni VW Touareg ya 2011...
Replies
12
Views
277
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.... Kama title inavyosomeka hapo juu, hebu tueleze kipindi una miaka 10 uliweza kufanya kazi za nyumbni au ndo ulikuwa bado unashikiwa fimbo kwenye kula? Binafsi katika umri huo nilikuwa tayari nimeshafundishwa kazi zote za nyumbani na Bi. Mkubwa, nilikuwa...
Replies
26
Views
439
Back
Top