Kijiji Off-topics

This is a forum of general posts that don't fit in any forums. Any serious subject not covered by the other forums and not prohibited.
English Version Join the mission and have your name engraved on NASA’s Europa Clipper spacecraft as it travels 1.8 billion miles to explore Europa, an ocean world that may support life. Swahili Version Jiunge na misheni na jina lako liandikwe kwenye chombo cha anga cha juu cha NASA cha...
Replies
12
Views
225
Uvivu ni hasara Uvivu ni umasikini Uvivu ni utumwa Tujishughulishe katika kupambania ndoto, mvivu husema kwani si tutakufa tutaviacha, je watoto wako waishi kama wewe Oya hii ni motivation zamani nilikuwa mvivu sana ila now nachapa sana kazi
Replies
37
Views
1K
Wakati mwingine Kushindwa ni nzuri. Ikiwa umeshindwa kwenye mtihani wako. Ikiwa umefeli mishe zako. Ikiwa hukufikia lengo lako. Ikiwa umeshindwa katika maisha yako ya mapenzi,.. Kushindwa sio mwisho wa maisha kwahvyo usiwaze, cha muhimu ni kuto kata tamaa... Kuna wakati tunafeli tunalaumu ila...
Replies
11
Views
151
Leo bwana nilikua busy from morning mpaka nakuja kushtuka ninywe chai saa 6 na 30 na hapo nakipindi saa 7 ikabidi nichague moja niache moja from home to chuo kwa muda huu wa mchana ni less than an hour Ikabidi niache chai ni wai chuo nikapanda road kusubiri bajaji kweli ikaja nauli buku hapo...
Replies
19
Views
544
Natumaini wote wazima... @imeandikwa na the-great-manenge.. Tanzania ilipata uhuru 9 disemba 1961Ni miaka mingi sana imepita,tumeshuhudia taifa letu limepitia hatua mbalimbali za ukuaji wake,baba aliniambia miaka ya 70 mpaka 80s vijana walikuwa wanatabia nzuri sana,mtoto alikuwa sio wakwako...
Replies
13
Views
224
Kipindi najiandaa kulala hapa Nikafikiria baadhi ya nadharia za usiku, ila kabla ya yote nikajiuliza kwa nini siwezi kulala bila kusali, jibu tu nimuoga natafuta kisingizio Nadharia kama tukilala roho zetu hutoka na kwenda kwa Muumba kisha hurudi, swali tukikesha je? Mbona simu inavyoita...
Replies
5
Views
234
Waungwana leo ningependa kutoa maoni ya kile ninachowazaga mda ninapokuwa free, japo sikuwa na time leo ila nitaweka facts kidogo Unajua Maisha yetu ndio Nature yenyewe, ok namaanisha Nature ndio maisha na kipindi Mungu anaumba aliweka vitu viwili viwili yaani chochote lazima viwe inform of...
Replies
5
Views
110
Maisha ni safari kama wahenga walivyosema, leo nataka tujadili jambo je sisi ndio tunapanga au maisha yanatupangia Maisha yanaweza kuwa ni nature, umepanga uende kanisani unaamka umechoka Unafanya kazi kwa bidiii na bado hufanikiwi, kipindi unapanga mambo yako na maisha pia yanakupangia baya...
Replies
1
Views
87
Amani iwe nanyi wanakijiji Kwenye cheti cha kifo sababu ya kifo haundikwa, kama malaria, kujiua nk Je umewahi kuona cheti cha kifo cha ndugu , jamaa au rafiki? Kuna cheti niliona sababu ya kifo ikawa kutoa mimba na hiiilinipa kutafakari maisha ya dunia kwa mara ya pili. Kwa imani yangu...
Replies
14
Views
242
Mambo tunayochukulia kawaida ila yanamdhara... 1) Utumiajiwa vidonge vya kuzuia mimba p2/morning pills, sio kwajili ya uzazi wa mpango bali ni kwa dharura tu,, Inashauriwa usitumie zaidi ya mara mbili kwa mwaka... 2) Kusikiliza muziki sauti ya juu kupitia, earphones au headphones kila...
Replies
47
Views
657
Katika moja na mbili Jumamosi usiku mwingi sana chimbo flani la walesa mavi, kula vombo kula vombo kula vombo mpaka natambaa, kudadeki wasela mavi wakasepa na kisimu changu cha kutambia mjini pumbavu zao. Nililia kisenge! Silewi tena.
Replies
95
Views
1K
Bwana weee nakukumbuka enzi za utoto wangu shoti za umeme hazijawahi niacha salama Nilipenda sana kutengeneza taaa, redio mota n.k Nilishawahi kufuga samaki wa urembo kwenye dumu one day nikapata wazo kuwa inabidi niwatengenezee taa ili na wao usiku wapate kuona Nilitafuta vifaa battery ya...
Replies
6
Views
176
Baadhi ya watoto hawakujua kwamba maisha yao yalikuwa "hatarini" katika mji wa Suffolk nchini Uingereza kutokana na kuwepo kwa 'hemlock' kwenye njia yao ya kawaida ya kwenda shuleni, mmea wenye sumu ambao unaweza kumuua mtu ikiwa ataumeza. Hata hivyo, hemlock sio mmea pekee unaohatarisha maisha...
Replies
10
Views
174
Hili ndio jukwaa ambalo tunajua maana ya changes, chances, uhuru na haki ya kupinga Tunaahidi kutoa huduma bora zisizo kuwa na kashikashi/mizengwe yeyote Maoni ya watumiaji wetu ni muswada imara kwetu Nachukua nafasi hii kuomba members wetu wa faida kualika watu ili tujaze hii forum, kupost...
Replies
12
Views
245
The 2023 List: Facts and Figures Inside Forbes' 37th-annual billionaires ranking. Read more here https://www.forbes.com/real-time-billionaires/#4b94dd263d78
Replies
34
Views
644
Serikali ya Zanzibar imesema ni kosa kisheria mwanaume kuingia au kuishi viziwani Zanzibar akiwa amesuka nywele. ''Kwa mujibu wa sheria zetu ukikutwa utatozwa faini ya milioni moja za kitanzania ambayo ni zaidi ya dola 400 za kimarekani au kufungwa jela miezi sita au adhabu zote kwa pamoja,”...
Replies
10
Views
258
Hadithi fupi inayomuhusu bwana Big na maembe Tanga
Replies
5
Views
168
Ukiwa unakibunda(pesa) mfukoni kuna namna mtu unakua na ujasiri wa kutembea hata tabasamu linakuja kirahisii😁 (au nasema uongo wanakijiji? 🥳🤠) Ila unapokua huna pesa mfukoni yani unakosa ujarisi kabisaa, yani unaingia kwenye daladala unaiangalia kila saa isije tokea imepotea, wanasema beba...
Replies
58
Views
603
  • Poll Poll
Kama team ya @KijijiForums tumepambana kuhakikisha tunakuwa bora na pekee Je umependezwa na muonekano wetu, toa maoni yako ALL VOICE IN THE VILLAGE MATTERS
Replies
79
Views
922
Kila mtu na kile akipendacho je wewe unapenda simu ya namna gani na unawish ukiipata tu roho itatulia?
Replies
42
Views
660
Back
Top