Mambo tunayochukulia kawaida ila yanamdhara...
1) Utumiajiwa vidonge vya kuzuia mimba p2/morning pills, sio kwajili ya uzazi wa mpango bali ni kwa dharura tu,,
Inashauriwa usitumie zaidi ya mara mbili kwa mwaka...
2) Kusikiliza muziki sauti ya juu kupitia, earphones au headphones kila...