mshamba_mkuu
New member
- Jun 4, 2023
- 1,563
- 4,525
- 0
bajeti ya wiki mzee unataka nife njaa12000 kishapikwa
bajeti ya wiki mzee unataka nife njaa12000 kishapikwa
Mangi shangali
Aisee ,,, kama hivyo si bora utafute waliomaliza form four mwaka jana hao ndo nahisi watakua haijui hela badonatafta binti wa kanisani hawana mizinga
aisee hii vita ni kaliAisee ,,, kama hivyo si bora utafute waliomaliza form four mwaka jana hao ndo nahisi watakua haijui hela bado
Hujakutana na vibinti vitamu mbona utatoa zoteaisee hii vita ni kali
nimeapa hamna binti atakula hata mia yangu bure
aisee hii vita ni kali
nimeapa hamna binti atakula hata mia yangu bure
Nahisi hajakutana nao badoHujakutana na vibinti vitamu mbona utatoa zote
kitamu haswaaNaunga mkono hoja,, kitamu sana
Yeah,, sijui labda anikataze nani ndo nitaacha maana wa kunikataza sijamuona badokitamu haswaa
no one can stop regeeYeah,, sijui labda anikataze nani ndo nitaacha maana wa kunikataza sijamuona bado
Kwakwelino one can stop regee
Water kwa jina la yesuKwa jina la Yesu , fire fite fire
Mzee usinambie unakula kitimotoKwa jina la Yesu , fire fite fire
lee unapenda kitimoto utakua umenonaYeah,, sijui labda anikataze nani ndo nitaacha maana wa kunikataza sijamuona bado
kwahiyo unamlamba au??lee unapenda kitimoto utakua umenona
Mzee usinambie unakula kitimoto
namtaka kimapenzikwahiyo unamlamba au??
Utamuweza??nasikia mtoto wa kitanganamtaka kimapenzi
Leejay ni kweli?? kama ni kweli mimi ni wako mamaUtamuweza??nasikia mtoto wa kitanga
Napenda nyama ya mbuzi kuliko maelezo. Huwa nikiona nyama ya mbuzi hata mate hudondokaMh Gily kwani mimi mdomo wangu ni kiatu jama ?
Ningeweka picha moja nikiwa mji mmoja wa watu nilikolishwa hiko kitu niliambiwa ni nyama pori .
Itoshe kusema mdudu ni haramu kwetu ila halali kwao .
Gily haujala nyama ya tembo bado ila mimi kwenye kuku bado sijinasui hata kesho , ndugu tufuge kuku ni watamu sana .Napenda nyama ya mbuzi kuliko maelezo. Huwa nikiona nyama ya mbuzi hata mate hudondoka
Wanadai wanaozaliwa December wanapenda mbuzi sana.
Chips jero kweli mzee??hivyo viazi na mafuta ya transformerGily haujala nyama ya tembo bado ila mimi kwenye kuku bado sijinasui hata kesho , ndugu tufuge kuku ni watamu sana .
Mdudu utampenda ukiwa mazingira yasiyo na ufugaji wake ila kwa mbeya mbali na dini hanivutii kwa uchafu na kushindwa kumuweka mazingira rafiki .
Yaani huku mdudu na bucha zake ni kama dar es salaam na vichips vya jero kwa mama Asunta wa kwa mtogole
Nyama nilizokulaGily haujala nyama ya tembo bado ila mimi kwenye kuku bado sijinasui hata kesho , ndugu tufuge kuku ni watamu sana .
Mdudu utampenda ukiwa mazingira yasiyo na ufugaji wake ila kwa mbeya mbali na dini hanivutii kwa uchafu na kushindwa kumuweka mazingira rafiki .
Yaani huku mdudu na bucha zake ni kama dar es salaam na vichips vya jero kwa mama Asunta wa kwa mtogole
mshamba_mkuu huko mbeya atakuwa anakula mdudu na chips kila week.Gily haujala nyama ya tembo bado ila mimi kwenye kuku bado sijinasui hata kesho , ndugu tufuge kuku ni watamu sana .
Mdudu utampenda ukiwa mazingira yasiyo na ufugaji wake ila kwa mbeya mbali na dini hanivutii kwa uchafu na kushindwa kumuweka mazingira rafiki .
Yaani huku mdudu na bucha zake ni kama dar es salaam na vichips vya jero kwa mama Asunta wa kwa mtogole
Ushakula nyati na kangaroo??jana nimekula kangaroo ni tamu kweli nyama lainiNyama nilizokula
1. Tembo, Twiga, Sungura na Swala - Hizi nilishawahi kula mara ila bado siithaminishi kama ya mbuzi wa kienyeji
2. Nyati - Hii nyama ina kiu sana na inachambuka moja moja kama uzi. Ni tamu ila sikuipenda
3. Kima - Hii nyama ilikuwa tamu hatari ila sikujua kama ni kima. Naona kama nimekula mtu
4. Mbuzi - Hii ni nyama yangu Pendwa naipa number moja.
5. Ng'ombe - Hii nakula mpaka inanichefua ina siku zake
6. Kuku - Kati ya siku 360 za mwaka nimekula kuku siku 300 Kuku wa Kienyeji sili kuku wa kisasa. Nakula kuku baada ya kuwekewa dharau na mpumbavu mmoja kwamba nimefilisika. Ninaandaa Album ya siku 300 nazokula kuku nimpe zawadi siku yake ya kuzaliwa. Amesahau fadhila zangu mpuuzi yule
7. Samaki - Nakula samaki ila napendelea sana samaki wa kupaka
8. Kondoo - Nakula ila sipendelea harufu yake
Ukitaka kuondoa kitambi kunywa pombe kalimshamba_mkuu huko mbeya atakuwa anakula mdudu na chips kila week.
Ila ndugu zangu nataka niache kula nyama for a year. Ushahuri tafadhali hiki kitambi kitakuja nidhalilisha
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.