kitimoto kitamu sana

Unataka ukavute Skanka South na makaburi😃
Skanka hatari tupu .
Nataka nikaoshe macho kidogo maana maisha yamekuwa magumu Tanzania hakina Sanchoka naishia kuwaona huku mtandaoni wacha niende maumbo yaliyopopelekwa .

Japo kama ni vacation kwa kijana chini ya miaka thelathini itabidi wawe na barua ya uthibitisho kuruhusiwa na familia zao hasa wazazi wasije kulowea kwenye nchi za watu .
 
Skanka hatari tupu .
Nataka nikaoshe macho kidogo maana maisha yamekuwa magumu Tanzania hakina Sanchoka naishia kuwaona huku mtandaoni wacha niende maumbo yaliyopopelekwa .

Japo kama ni vacation kwa kijana chini ya miaka thelathini itabidi wawe na barua ya uthibitisho kuruhusiwa na familia zao hasa wazazi wasije kulowea kwenye nchi za watu .
Haha vijana hawa Bata hawawezi. Ukipanga Bata na vijana wanaokula mihogo hutoboi

Ila maisha mafupi sana Humu anayeweza enjoy life to the maximum ni Katkit The great manenge mmash AlmightyGod Dr santos
 
Haha vijana hawa Bata hawawezi. Ukipanga Bata na vijana wanaokula mihogo hutoboi

Ila maisha mafupi sana Humu anayeweza enjoy life to the maximum ni Katkit The great manenge mmash AlmightyGod Dr santos
Huwa mimi sijivungi weekend huwa silalagi kama wanasema pombe mbaya kwangu sio mbaya maisha mafupi sana mtu unajibana eti huende mbinguni ukifa,mbinguni ni mambo ya kufikirika tu enjoy mda uliyepewa maana hakuna second Chance kabisa
 
Guys kama kuna mtu alikua akutumie taarifa zake sijui alikuomba kazi,, nifate pm nikutumie maana nimemcheki mhusika wiki ya pili hii hajibu pm,, isije ikawa anasubiri kuitwa kazini kumbe kakosea taarifa zake na kila kitu kanitumia mimi..nawasilisha🙏🏼
 
Anaitwa @Augustino benedicto naona hata nikimtag hatokei au sijui ndo kashaleft au imekuwaje..kanitumia vyeti vyake vyote kuanzia cha kuzaliwa hadi bachelor, na vya appreciations na vingine vingi vingi
Maybe anataka kazi
 

Similar threads

Sijui anaitwa nani ila siku hizi naona anatrend sana kwenye status za watu , stickers nk halafu jamaa comedy zake haongei na code zake za mavazi zilezile.
Replies
6
Views
213
Mficha maradhi kifo humumbua, nateseka naumia sana toka niachane na ex wangu. Tulikuwa na uhusiano miaka 2 iliyopita, baada ya kufuma message WhatsApp namtongoza msichana mmoja hivi mtaani akavunja mahusiano. Kifupi tu yule msichana wa mtaani sio kuwa nilimpenda. Si mnatambua ndugu zangu kuwa...
Replies
17
Views
585
Nina kaproject kangu hapa simple ila nakula bags kama uchafu, nafix ila sometime sipati syntax error ila logical error na hii ni ngumu kufix sababu computer haiwezi ditect hii error naomba kupumzika kesho ninapepa huuuuu! Wataalamu nani nimtumie sourcecode anifanyie manuva?
Replies
0
Views
150
Hali hiyo inaweza pia kusababisha mashambulizi ya hofu, ambayo kwa kawaida hujumuisha baadhi ya dalili zifuatazo za kimwili: Kutokwa na jasho sehemu kubwa ya mwili Maumivu ya kifua Kichefuchefu au usumbufu wa tumbo Ugumu wa kupumua au kuhisi pumzi inakata Kizunguzungu au kuzirai Mapigo ya moyo...
Replies
16
Views
234
Back
Top