- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
wakuu nawasalimia tena
1 kwa 1 kwenye mada....
Je wanaume kuwasomesha au kuwafungulia biashara wapenzi wanao tarajia kuja kufunga nao ndoa kwa lengo la kuwaendekeza ni mbaya?
Nimeuliza hivi maana jamaa yangu alimsomesha demu wake jamaa alikua nyuma level moja ya demu (chuo), na baadae kabla jamaa ajamaliza chuo demu akapata kazi, na jamaa alivo maliza wakaoana na wanaishi mpaka sasa vizuri tu..
Wewe kama mwanaume utashindwa kumwendeleza mpenzi kwa hofu ya kuachana mbeleni?
Na wewe mwanamke nini kinawapataga mnawaacha watu walio waendeleza au mkiendelezwa mnajiskia vbaya au nikweli ninyi ni nanii?
1 kwa 1 kwenye mada....
Je wanaume kuwasomesha au kuwafungulia biashara wapenzi wanao tarajia kuja kufunga nao ndoa kwa lengo la kuwaendekeza ni mbaya?
Nimeuliza hivi maana jamaa yangu alimsomesha demu wake jamaa alikua nyuma level moja ya demu (chuo), na baadae kabla jamaa ajamaliza chuo demu akapata kazi, na jamaa alivo maliza wakaoana na wanaishi mpaka sasa vizuri tu..
Wewe kama mwanaume utashindwa kumwendeleza mpenzi kwa hofu ya kuachana mbeleni?
Na wewe mwanamke nini kinawapataga mnawaacha watu walio waendeleza au mkiendelezwa mnajiskia vbaya au nikweli ninyi ni nanii?