mshamba_mkuu
New member
- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 1,563
- Reaction score
- 4,525
- Points
- 0
Najiona wa tofauti sana....
sina dini,
sinywi pombe,
sishabikii michezo, mpira, mieleka sijui nini nini vimenipita kushoto
na ukubwa wangu wote huu bado naangalia 'katuni'
Yaani nikijilinganisha na watu wa rika langu najiona tofauti kabisa, kuna vitu nilikua nafanya kwa kuiga ili na mimi nijione wa kawaida, ila sasa nimeanza kuviacha nimepoteza marafiki, yaani ni kama siwezi kuishi hivi jinsi nilivyo ni lazima niige vitu ili niweze kujichanganya na watu....
hii inanipa wasi wasi sana huko mbeleni ntaishije, kwa hivi nilivyo, mke nitapata kweli? nikisema nijikubali hivi nilivyo ntaishi kwa upweke sana kwasababu ni watu wachache sana wanaendana na mimi, nitakosa marafiki....
inafikirisha.... nakaribisha mawazo yenu
sina dini,
sinywi pombe,
sishabikii michezo, mpira, mieleka sijui nini nini vimenipita kushoto
na ukubwa wangu wote huu bado naangalia 'katuni'
Yaani nikijilinganisha na watu wa rika langu najiona tofauti kabisa, kuna vitu nilikua nafanya kwa kuiga ili na mimi nijione wa kawaida, ila sasa nimeanza kuviacha nimepoteza marafiki, yaani ni kama siwezi kuishi hivi jinsi nilivyo ni lazima niige vitu ili niweze kujichanganya na watu....
hii inanipa wasi wasi sana huko mbeleni ntaishije, kwa hivi nilivyo, mke nitapata kweli? nikisema nijikubali hivi nilivyo ntaishi kwa upweke sana kwasababu ni watu wachache sana wanaendana na mimi, nitakosa marafiki....
inafikirisha.... nakaribisha mawazo yenu