Sijawai waza iosIphone 14.
me nazipenda coz zinakupa choice ya cmu flagship zenye umbo dogo tofaut na samsungSijawai waza ios
Itakuwa bonge la simu maana apple huaga kwenye specifications hawana bayaNawaza iPHONE 15 itakuaje this september launch
Ni simu nzuri sana hasa ukipata 0kmGalaxy S6 Edge
eti 0kmNi simu nzuri sana hasa ukipata 0km
Hii simu naikubali sanagoogle pixel 7 pro
best android device kwa sasaHii simu naikubali sana
Kabisabest android device kwa sasa
tatizo ya hii ni chaji, ila ni kasimu very slim safi sana.Galaxy S6 Edge
hapo kwenye chaji ndiyo pananiumiza kichwa hasatatizo ya hii ni chaji, ila ni kasimu very slim safi sana.
Hili nenoNashindwa kutamani et kuwa na simu fulani.
Mi nikimiliki simu inayokaa chaji tuu inatosha.
Hizi zishapitwa na wakati ku amatoleo kuntu ya Samsungmi naipenda sana Samsung note 10 plus
Nimecheka sanaMiaka inaenda kasi sana , leo nipo na ndugu zangu wenye matamanio na simu mimi hata sijui natamani simu gani ? Nilikuwa na samsung wakasema za madon bichwa likavimba sana , nikatumia iphone wakasema za wanawake , sasa nimenunua tena samsung .
Hivyo itoshe ninyi kuniamulia ila mimi hata sijui natamani simu gani
Nimecheka sana
Kwa utumiaji mzuri Samsung imetulia sana ishi humo humo kwenye Samsung. Shida ya iphone iko limited sana katika matumizi yake
Ukiwa unatembea na iPhone unaonekana mshefa mademu unawapata kirahisi sanaIko limited sana kweli .
haha sawa Mr photographerpixel aisee bado nina moto nazo, ni kali sana
View attachment 624
nikimiliki simu inayokaa chaji tuu inatosha.
ndio mkuu ni ghali@mshamba_mkuu cheki hiyo bei ni ada yangu ya chuo kabisa na chenji inabaki. View attachment 625
Sema battery ipo vizuri aseee.
View attachment 626
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.