Tofauti ya funzo tunalopata shuleni na lile tunalopata katika maisha;
Kwanza kabisa nikusalimu wewe mpendwa wa kf ni muda sasa tangu tumeonana(kupitia madandiko), nikushukuru pia in advance kwa kunisamehe kwa mwandiko wangu, bado nadhidi kuimarika, moja kwa zote kwenye madaaa
Katika maisha...
Mimi somo la ujasiriamli sio mzuri ila leo tujadili kuhusu hivi vitu viwili
Ujasiriamali na Biashara
Ujasiriamali ni nini?
Biashara ni nini?
Vinatofautiamaje?
Utajuaje huyu ni mjasiriamli na yule ni mfanyabiashara
Kipi bora zaidi
Kipi kinafaida kwa wengi?
Stay tuned i will be back soon.
Mwana saikolojia wa kimarekani, Profesa Reek amechapisha matokeo ya utafiti wake juu ya mwanaume na mwanamke katika kitabu kikubwa. Anasema: Ulimwengu wa mwanaume ni tofauti kabisa na ule wa mwanamke. Ikiwa mwanamke hawezi kufikiri au kufanya mambo kama mwanaume, ni kwa sababu wanaishi katika...
Kichwa kinajieleza, Kuna baadhi ya muvie na simulizi ukiziangalia basi unajikuta umewakubali sana baadhi ya wahusika. Kwa mimi ni kama ifuatavyo:
1. Pedro Alonso/Berlin - Money heist
Jamaa ana calmness, man of action, genius na yupo very cold.
2. Tommy shelby - peaky blinders
Huu ni mwamba...