- Jun 4, 2023
- 7,609
- 26,404
- 113
Wasalaam
Tabia gani ambayo uko nayo imekuwa faida kubwa kwako?
Nianze binafsi sina tabia ya dhuluma na hii imekuwa fauda sana kwangu. Uaminifu ni mtaji tosha imepelekea biashara zangu kidumu kwa mda mrefu. Hata kuoata bidhaa kwa Mali kauli na kulipa pale ninapouza. Hichi ni kitu pekee nachojivunia.
Funguka ni tabia gani labda kwa kujua au kutokujua imekuwa faida kubwa kwako.
Tabia gani ambayo uko nayo imekuwa faida kubwa kwako?
Nianze binafsi sina tabia ya dhuluma na hii imekuwa fauda sana kwangu. Uaminifu ni mtaji tosha imepelekea biashara zangu kidumu kwa mda mrefu. Hata kuoata bidhaa kwa Mali kauli na kulipa pale ninapouza. Hichi ni kitu pekee nachojivunia.
Funguka ni tabia gani labda kwa kujua au kutokujua imekuwa faida kubwa kwako.