Single time
New member
- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 106
- Reaction score
- 281
- Points
- 0
Mimi kunywa maji
Mi selewi hapa kuna madam katupa tutengeneze mawebsite duuh!siwezi kusoma 24/7 mkuu nilimaanisha kwamba sitabiriki huu mda wa pepa
sisi hatusomi web saivi, ni java tuMi selewi hapa kuna madam katupa tutengeneze mawebsite duuh!
Mambo ya kudeal na maclasses ndio ujinga wenyewesisi hatusomi web saivi, ni java tu
ndio.... hili nalo litapita tuu hii ndio wiki ya mwisho kwangu kwenye semesterMambo ya kudeal na maclasses ndio ujinga wenyewe
Sema si mnnaanza na concept pseudo code?
Hongera mkuu, ukimaliza tujiajirindio.... hili nalo litapita tuu hii ndio wiki ya mwisho kwangu kwenye semester
Huna michezo ya @dronedrakekuchat tu
hamna mara mojamoja sanaHuna michezo ya @dronedrake
unaijua ulimi mbili ya fidqNapenda kucheza na adobe set...
Napenda check movies
Napenda kusikiliza music (ngumu)
Napenda kufanya imagination ya future life about me hii ndo napenda zaidi.. yaani naweza acha hata kula.kisa haya mambo
Hapana mkuu.unaijua ulimi mbili ya fidq
Kuna tetesi za chini kwa chini unataka kuanzisha forum yako kuwa mshindani wa Kijiji. Je tetesi hizi ni za kweli?Sijawahi kuwa idle mara nyingi nakua na pilika pilika nyingi sana...Ila nakuwa na mdaa kidogo wa kurefresh mind na hapo nitakunywa liquor kidogo then naendelea na mambo yangu mengine...
Hata sina hilo wazo kabisa huwezi amini ila ushauri ukiitafuta kijiji forums kupitia browser such as bing wanasema haitambuliki kama forum kamili ila ni chatting forum yenye watumiaji wenye akili za watengeneza comics booksKuna tetesi za chini kwa chini unataka kuanzisha forum yako kuwa mshindani wa Kijiji. Je tetesi hizi ni za kweli?
nakubali sana hao mabwana wa tamaduniHapana mkuu.
Mi fid hapana ila wale wa tamaduni
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.