Missy Gf
New member
- Jun 4, 2023
- 25
- 94
- 0
Hiko Kikucha cha mwisho umefuga cha nini@mshamba_mkuu @Hakimu mnaishi au mnasindikiza wanaoishi ??
Kuna watu siwataji ila najua hawajawahi kula kuku mzima by themselves
View attachment 217
Hiko Kikucha cha mwisho umefuga cha nini@mshamba_mkuu @Hakimu mnaishi au mnasindikiza wanaoishi ??
Kuna watu siwataji ila najua hawajawahi kula kuku mzima by themselves
View attachment 217
haha mbona Kila mtu ananiuluza hili swalHiko Kikucha cha mwisho umefuga cha nini
cabbage upikaji tuSipendi kabichiiiiii yaani sipendiiiiii bora Nile mchicha ht mwaka mzima sio cabage
Itsa red flaghaha mbona Kila mtu ananiuluza hili swal
huwa natumia kuchokonolea nyama kwenye meno
kwamba nauza unga auItsa red flag
Sema hako kakucha kana kazi nyingi sanakwamba nauza unga au
wa Cuba @dronedrake anaelew sana tuSema hako kakucha kana kazi nyingi sana
Wacuba wanaelewa
cuba ya wapi, hii ya chanika au ?wa Cuba @dronedrake anaelew sana tu
mzee unakataa tenacuba ya wapi, hii ya chanika au ?
tupia kavideontarudi, niko kwenye kigodoro nabambia wazaramo
Huna akili@mshamba_mkuu @Hakimu mnaishi au mnasindikiza wanaoishi ??
Kuna watu siwataji ila najua hawajawahi kula kuku mzima by themselves
View attachment 217
nikiwa nabambia au ?tupia kavideo
weka misamwandanikiwa nabambia au ?
mambo ni mazurihaha sijakutaj ommy B
Leo ni siku 122 mwaka huu nagonga chicken wa kienyeji karibu nakul hapaView attachment 220
nishakula batamzinga mzima mwenyewe@mshamba_mkuu @Hakimu mnaishi au mnasindikiza wanaoishi ??
Kuna watu siwataji ila najua hawajawahi kula kuku mzima by themselves
View attachment 217
ukiwa unakula ndotoni hivi huwa unashibanishakula batamzinga mzima mwenyewe
nakaziaItsa red flag
vunja hiyo rekodi yangu ndo uje hapa, kuku mzima nimekula, mzima na nusu nimekula, sema turkey ni mtamu balaa ana nafasi yakeukiwa unakula ndotoni hivi huwa unashiba
afu niliambiwa women who say 'red flag' are red flags themselvesItsa red flag
wivu haujawahi muacha mtu salamanakazia
mzee mimi ni mrombo Jazia....vunja hiyo rekodi yangu ndo uje hapa, kuku mzima nimekula, mzima na nusunimekula, sema turkey ni mtamu balaa ana nafasi yake
ngoja mi nihangaike na kontena langu la wali wa 1500wivu haujawahi muacha mtu salama
Ni hivi nimetafutwa na wizard ya mifugo na uvuvi waziri kaniambia kuwa ulaji wangu unaharibi mazingira inabidi nilipie kodi na nizalishe vifaranga vipya ile kata mtu panda mti
mzee mimi ni mrombo Jazia....vunja hiyo rekodi yangu ndo uje hapa, kuku mzima nimekula, mzima na nusunimekula, sema turkey ni mtamu balaa ana nafasi yake
Leo unakula wali bumu limetoka teyaringoja mi nihangaike na kontena langu la wali wa 1500
weka bana tuone vyuku hivyoyani @Gily una bahati siwezi kuattach file humu..
mdogo wangu huku mbeya wali ni kama uchafuLeo unakula wali bumu limetoka teyari
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.